Wacha ubishi wa kindeziMmmhh nakuwa na uhakika gani kwa kuona majengo mawili na miti? Hakuna sehemu nyingine panapoweza kuwa na mazingira ya aina hiyo?
Au ulienda ku squat?
Weboya sio bounsa mbona mnapenda kuwaingiza wapiga gym kindeziSio negative tu huu ni usenge mwanaume mzima unakuwaje na muonekano kama huo?huyu bwana lazima ni gay sema ni baunsa maku huyu
🤣🤣🤣🤣hivi Nawanda nasikia si mkulima sahivi uko morogoro?Wallah vile,Nawanda akimuona huyu haponi.
daaah jibu la dharau sana😂😂Sawa sister
man na wewe umefungasha?Kwa hiyo sisi tuliosadifu matako makubwa ya shangazi zetu ni mashoga siyo!?..tulichagua kusadifu shangazi zetu!?
Na watoto kabisa 🤣🤣🤣Hivi jamaa ana mke?? 🤔
wabongo huwa wanafikiri kumtukana mtu ndio kumuondoa kumbe wanazidi kumpa promo. Huyo jamaa ana tag la wanawake kibao wanaoenda kufanya mazoezi, na wanawake wengi ni wenye vipato vya kati na juu. Pesa anayokusanya hapa ni kufuru! Acha apige kazi na kuzikusanya akishamaliza hiyo minyama atafanya mazoezi na atarudi kwa umbo la kiumeEndeleen kumpa promo
Ndivyo alivyo angalia kalip Lake sio la mviringo ni la kubateka upande, kigodoro hakipo hivyo.Huyu jamaa ni mganga njaa kama tulivyo wengine,nina mashaka sana hata hiyo skin tight anayotumia ni zile zinazoongeza hips na makalio na sio muonekano wake halisi,wanaume hatukuumbwa hivyo hata ungefanya squat za namna gani,pia lengo lake kuu hasa ni kuwasaidia wadada kuongeza makalio kwa kutumia mazoezi kwahiyo anapiga hela za kutosha maana kwa dunia ya sasa hiyo ni fashion...
Uyo dogo amealikwa sio event yake ila wamemuingiza choo ilibidi akataeKatika hali ya kawaida alitakiwa kuwafikia watu wa daslam hayo ndio yao, sasa huko kwa wadudu sijui imekuaje......aaahh au kajua mkuu wa mkoa nae ni king of skwat???😹
Kwanini akatae?Uyo dogo amealikwa sio event yake ila wamemuingiza choo ilibidi akatae
🤣🤣🤣🤣🤣 serious???Na watoto kabisa 🤣🤣🤣
kamaeshaharibiwa na wahuniKing of Squats akiwa Arusha kwa maandalizi ya mazoezi, tazama Video hii kwa umakini kisha rusha maoni yako
Huyu jamaa kwa squats anazopiga angekuwa anafumuliwa mlima lazima lava na ash zingetoka kwenye mlima squat ni keleleKing of Squats akiwa Arusha kwa maandalizi ya mazoezi, tazama Video hii kwa umakini kisha rusha maoni yako
Sasa bwashee unafikiri kila mtu anafuatilia huo upuuzi kama wewe? Wenzako walielewa kuwa sipo kwenye hayo mambo ndio maana sikuwa nafahamu wakanielewesha wewe unakuja kichwa kichwa utachezea bero za mbavu ufe.Wacha ubishi wa kindezi
Serious kabisa... Mungu kampa kalio, afanye nini sasa 🤣 🤣 🤣 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 serious???
Ndio hivyo kaamua alitumie kwenye fursa kupata hela...😹Serious kabisa... Mungu kampa kalio, afanye nini sasa 🤣 🤣 🤣 🤣
Chakla hii imekuja kuuza kundu tuKing of Squats akiwa Arusha kwa maandalizi ya mazoezi, tazama Video hii kwa umakini kisha rusha maoni yako