Mmmh! anapenda sifa tu huyo mtoto, kamaliza certificate KIU Dar College mwaka juzi. Ana mambo ya kike kike na anapenda sifa balaa, ana range rover nyeupe ya babake anampeleka kwenye mishe na kumfata, muda hayuko nae ndio anazura na hilo gari na anatembea na panga, akiwa na babake mdogoooooooooo kama priton. Anapenda kujishow na watu walikuwa hawampendi anataka ustaa kwa nguvu na mkizinguana anakimbilia panga,aliendaga nje kwa bro wake akarudi na picha kila mtu kamuonyesha!hana lolote kwao pugu huko kama sio chanika, aende zake huko, yupo yupo tu kama kuku wa kuchora