King Rover: Billionea kijana mwenye madharau Dar es Salaam anayekimbiza Bongo nzima

King Rover: Billionea kijana mwenye madharau Dar es Salaam anayekimbiza Bongo nzima

Anatamba huko insta babake ni one of the most powerful men in Tanzania..
 
Unawajuwa powerful Men au unabwabwaja tu?

matola umekurupuka kwani ulikua wapi chooni???? Jamaa katoa taarifa tu kwamba bwana mdogo anajigamba baba yake ni powerfull men sasa we una mnukuu kama as if ameongea yeye
 
hivi aliyefungwa mara 2 (yanga) na sare1. anapointi 10 na mwenye sare 6 na pointi 6 (simba) nani yuko juu?????????
 
Kwa sisi tunaojua kusoma nyuma ya picha,unaweza kuona hata hiyo nyumba ndani anapoishi haifananii na hizo bundle za pesa anazoonesha.Huyo ni pimbi kama pimbi wengine tu wakina le mburulaz!Le big show.
 
Matola

unaonesha ushaifu wa hali juu kwa mtu wa kariba kama yako kuanza kutukana bila sababu huna tofauti na walevi wa mataputapu, bia za bure ukiwa mtu wa watu ishi na watu vizuri tu utaitwa tu na ndugu au marafiki kusherekea pamoja
 
Last edited by a moderator:
unaonesha ushaifu wa hali juu kwa mtu wa kariba kama yako kuanza kutukana bila sababu huna tofauti na walevi wa mataputapu, bia za bure ukiwa mtu wa watu ishi na watu vizuri tu utaitwa tu na ndugu au marafiki kusherekea pamoja

Huyo bilionea wako picha ya kwanza juu kulia kavaa blauzi eeh??
 
Mshamba tu huyo hana lolote.. Sema anapenda sifa watu wamjue!! Asiwatishe na hizo hela huwa anapigia picha tu.
 
Back
Top Bottom