King Rover: Billionea kijana mwenye madharau Dar es Salaam anayekimbiza Bongo nzima

King Rover: Billionea kijana mwenye madharau Dar es Salaam anayekimbiza Bongo nzima

Wenye pesa ya jasho tena nyingi wametulia. Hawa majambazi na wauza inga wa pesa za dili nao wanajiona watu?
 
le mburula ana miaka 50 na usheh sio kijana tena ni le jibaba sema 2 hana utofauti na m2 mzima anaecheza komborela ujana hakulaga enzi zake hvyo ndo anapitia ujana saiz wakati ashazeka
Kwikwikwi
Le jibaba
 
ngoja nijaribu kufuatilia juu ya biznez zake sababu nipo nae karibu kesho ntakuja na jibu

umesema jamaa anaitwa Raymond Ndazi,kuna Brigadier mstaafu anaitwa Ndazi sasa sijajua ndo mwanae huyu au,aliishi sana Tabora.
 
you are not a billionair UNTIL THIS MAN SAYS YOU ARE!

sintahlemutuz.jpg
 
Haya ndo matokeo yakupata hela bila kutegemea,yaan ni mambo ya maskin asiye na malengo akibahatika lazima afanye mambo kama haya
 
Tanzania ni nchi inayoongoza kwa kuwa na mabililionea wengi
 
Hizo hela anatumia ndani kwao tu au?hii sura katika wakali wa town sijawahi kukutana nayo labda kama anaishiaga kariakoo akileta pilipili toka kilosa

Ha ha ha ha ha ha!

Nimecheka sana.
 
umesema jamaa anaitwa Raymond Ndazi,kuna Brigadier mstaafu anaitwa Ndazi sasa sijajua ndo mwanae huyu au,aliishi sana Tabora.

kwanza alikua hapa airwing na walikua wakiish hapa kipunguni baadae akahamishwa nafikiri ni huko tabora
 
Jamaa ana deal na drug pamoja na madin
 
Sasa hiyo picha ya kwanza juu kushoto alikuwa anacheza muvi, au?
 
Back
Top Bottom