Steph Curry
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 5,936
- 4,707
Unawajuwa powerful Men au unabwabwaja tu?
Mkuu nime quote anachosema yeye.. Sasa hilo swali nadhani halinihusu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unawajuwa powerful Men au unabwabwaja tu?
Kuna Bilionea mmoja tu Tanzania nzima
Rostam Aziz,
Kuna Bilionea mmoja tu Tanzania nzima
Rostam Aziz,
Inawezekana MIMI ndiye Tajiri zaidi Hapa Dar ! Kwani fweza nilizonazo ni zangu mwenyewe 10m! Zote za halali. Hakuna hata sent moja ya wizi , ufisadi wala dhuluma!
Na mim ni wa pili na mil 9 zote ni halali hakuna hata sent moja ya wizi, ufisadi wala dhuluma
Neno bilionea linatumika vibaya sana