Ni nani huyu Jamaa?
Anaonekana mrembo kweli. Au ni Bwabwa?
Neno bilionea linatumika vibaya sana
Hata mimi wananichanganya sana wanavyolitumia, sometimes nadhani tuko Zimbabwe.
Kwani kuna bilionea mwingine zaidi ya Le Mbururaz mtoto wa waziri mkuu mstaafu mtoto wa mbebez u know!
Neno bilionea linatumika vibaya sana
halafu huyu siyo yule dogo ambaye amepangiwa nyumba na yule jama wa Masoko pale Voda..?
Mungu uwasemehe hawa wapenda vya mtelemkooooo mpaka wanachakaza malinda
Sasa atawapataje na nyie warembo mnavyopenda mteremko mkiona mambo hayo chupi zinalowa. Hamkawii kumuundia mkakati wa kumchuna. Huyo Mengi mwenyewe mlimuundia mikakati mpaka mkamzalia mapacha na ubabu wote ule hivyo vitoto atavilea lini?Wenye pesa zao hua ni kimyaaaa,hawana makelele sasa huyu hata hatumjuii pesa za sembe hizoo zinamzuzuaaa,,kina Bakhresa, Mengi wasemejee au wakitaka kupiga picha pesa zao si tutakufa jamaniii,,,utoto huyo unamsumbuaaaa
Pitia page yake ya instagram ndo anavyojiona hivyo kwamba yeye ni bilionea
Kwani kuna bilionea mwingine zaidi ya Le Mbururaz mtoto wa waziri mkuu mstaafu mtoto wa mbebez u know!
Wangapi?????mbona unanijumuisha na miee
Mbona umepanic?