Pukudu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 3,149
- 2,232
Hebu funguka vizuri bwana....ila mbona anaonekana mlaini tu tokea hapo...?!!!
Pitia ule uzi wa Mharami aka Chonji wadau wanasema, kosa lililowafanya washughulikiwe pia ni kuhusu issue ya huyu dogo aliwarusha mzigo jamaa wakatatua Marinda rumour has it kwamba alkuwa mtoto wa general bilionea