lol mfano umenifanya nisisimke nimekuvutia picha
Haha hahaaaa aisee huo mfano siutaki kabisa...
Sinaga hayo mambo bwana...ni ufirauni usiokubalika hata mbele ya mwenye-enz-Mungu
Hajhaaja hata huko mi sitaki ila
Hajhaaja hata huko mi sitaki ila
haya hapo tuanze chapter.Ewaaaaaaaa
Anatamba huko insta babake ni one of the most powerful men in Tanzania..
Unawajuwa powerful Men au unabwabwaja tu?
unaonesha ushaifu wa hali juu kwa mtu wa kariba kama yako kuanza kutukana bila sababu huna tofauti na walevi wa mataputapu, bia za bure ukiwa mtu wa watu ishi na watu vizuri tu utaitwa tu na ndugu au marafiki kusherekea pamoja
hamuwezi mzee mwambapa tajiri wa nguruwe pale makabe kwa ripelanya
Huyo bilionea wako picha ya kwanza juu kulia kavaa blauzi eeh??