UNAJUA NINI!Dini ni ishu sensitive sana let's approach it with a lot of caution ili tusikwazane wakuu. Asante
hahahaha!Daahh story imetulia sana haichoshi kusoma..
Kongole kwako mkuu,
ngoja niirudie tena[emoji3]
Hivi cleopatra nae si alikua kiongozi wa misri
Alikua miaka ya baada au kabla ya yesu? Nae mwili wake upo? Nasikia alikuwa kisu balaa[emoji3]
Mkuu uliahidi pdf ya hicho kitabu hapa jukwaani vipi maendeleo au kinapatikana online?SALUTE mkuu Humble African
Kama kawaida hujawahi niangusha mkiu, umeniongezea maarifa though niliwahi kusoma sehem kuhusu huyo mtu na kuangalia baadhi ya muvi kama The Mummy 1-3 & X- Men Apocalypse nashukuru kwa maarifa.
Napenda kuongezea hapo kwenye swali la mkuu Sugamadex kuhusu jinsi binaadamu tulivyoyapa thamani Mawe (Gold,Diamond,Copper,Nk)
Inasemekana kua (Kwa mujibu wa kitabu cha Enoch) Baada ya wale malaika waasi 200 kushuka duniani ndipo walipotufanza thamani ya haya mawe na aliyetufunza thamani ya mawe hayo ni kiongozi wa wale malaika waasi.. Anafahamika kama Azazel. Ikumbukwe pia malaika hao ndio wametufunza taaaluma nyingi nyingi ksma vile uchawi,uganga,Unajimu;Ramli,Kamali,Kutengeneza siraha n.k n.k
Soma zaidi hapa, nimenukuu kutoka The book of Enoch.
"...And Azâzêl taught men to make swords, and knives, and shields, and breastplates, and made known to them the metals of the earth and the art of working them, and bracelets, and ornaments, and the use of antimony, and the beautifying of the eyelids, and all kinds of costly stones"
Cc.
lifecoded Wick MzeeMeko Iyegu mmangO
Sasa kwanini hatukutawala ulaya mimi sijakata nimesema zamani before Karne ya 14-16 sisi tulikua sawa na wazungu tu hâta kuwazidi maendeleo on science and medicine ila wenzetu waliamka sisi bado tukawa tunaruhusu twende na naturehahaaaa Humble African msikie " huyu''
MKUU watu Weusi ", ndio chanzo cha ustaarabu duniani" hiyo ufaransa yenyew ", unayoiona "leo ' hapa kabla ilikuwa chini " ya utawala wawatu weusi" waliokuwa wanafahamika kwa jina la the moors"",
CHUO kikuu cha kwanza duniani kiliasisiwa nchini Mali", chini ya utawala wa Prince Mansa mousa", wamjua mansa mousa "wewe""' ? .. kanisa la kwanza ulimwenguni", lilianza kujengwa Ethiopia" ", nimekupa hizo reference chache tu "", waweza kwenda Google au Wikipedia ili ukaongeze maarifa zaidi
oooohh hapo tuko pamoja" but kilichotokea ' ni mabadiliko tu ya kidunia" huwezi kuwa mtawala mileleSasa kwanini hatukutawala ulaya mimi sijakata nimesema zamani before Karne ya 14-16 sisi tulikua sawa na wazungu tu hâta kuwazidi maendeleo on science and medicine ila wenzetu waliamka sisi bado tukawa tunaruhusu twende na nature
Shukrani mkuu Da'Vinchi kwa ufafanuzi zaidi, binafsi sio historian professionally ila napenda kujua mimi ni nani katika dunia hii.SALUTE mkuu Humble African
Kama kawaida hujawahi niangusha mkiu, umeniongezea maarifa though niliwahi kusoma sehem kuhusu huyo mtu na kuangalia baadhi ya muvi kama The Mummy 1-3 & X- Men Apocalypse nashukuru kwa maarifa.
Napenda kuongezea hapo kwenye swali la mkuu Sugamadex kuhusu jinsi binaadamu tulivyoyapa thamani Mawe (Gold,Diamond,Copper,Nk)
Inasemekana kua (Kwa mujibu wa kitabu cha Enoch) Baada ya wale malaika waasi 200 kushuka duniani ndipo walipotufanza thamani ya haya mawe na aliyetufunza thamani ya mawe hayo ni kiongozi wa wale malaika waasi.. Anafahamika kama Azazel. Ikumbukwe pia malaika hao ndio wametufunza taaaluma nyingi nyingi ksma vile uchawi,uganga,Unajimu;Ramli,Kamali,Kutengeneza siraha n.k n.k
Soma zaidi hapa, nimenukuu kutoka The book of Enoch.
"...And Azâzêl taught men to make swords, and knives, and shields, and breastplates, and made known to them the metals of the earth and the art of working them, and bracelets, and ornaments, and the use of antimony, and the beautifying of the eyelids, and all kinds of costly stones"
Cc.
lifecoded Wick MzeeMeko Iyegu mmangO
Downloaded mkuu, pamoja sana.Kitabu chake hiki hapa nimekipata mbali sana karibuni wadau tusome.
Marhaba!Shkamoo,hongera sana mkuu,hivi huna group la whatsap uni add huko??0713522447
...hata mm usiniache kwenye ufalme huo mkuuMarhaba!
Sina mkuu group la WhatsApp kwa sasa but nikiwa nalo nitahakikisha nakuadd.
Asante!
Ni kweli ila ajabu pale Cairo, Misri wako kibao kwenye museum ya taifa watu wanalipia kuwaona hadi watoto wanaruhusiwa kuingia na kujionea watawala wa zamani... !Ila mummy huwa wanatisha sana aisee
Aah sio kiivyo,, any way ila jamaa dawa walizotumia sio mchezo aseeNi kweli ila ajabu pale Cairo, Misri wako kibao kwenye museum ya taifa watu wanalipia kuwaona hadi watoto wanaruhusiwa kuingia na kujionea watawala wa zamani... !
Ila Mimi sioni kama wanatisha eti?
It gives great joy kuona comment murua kama hii yako mkuu.UNAJUA NINI!
unaliishi jina lako!
Sidhani huu unyenyekevu wa lugha unao JF tu!
WABARIKIWE WAZAZI WAKO!
HAPA SIJASEMA KUWA UNA UPEO NA UELEWA WA VITU AMBAVYO UNAVIRAHISISHA KUELEWEKA KWA LUGHA NYEPESI SANA!
HONGERA SANA mkuu!
Kuna huyu dogo Muitaliano Rosalia rombrado yeye ukimuona unaweza kuhisi labda ataamka baadae yuko well preserved na mwili wake huko vizuri kiasi kwamba wanaofika kumuangalia huwa wanamuita "sleeping beauty" yaani hadi organ zake za ndani ya mwili ziko intact bado.Aah sio kiivyo,, any way ila jamaa dawa walizotumia sio mchezo asee
Ss kuna mummy wengine unakuta ana ngozi flesh kbs km kafa leo, huwa wanahifadhiwa kwenye madawa ya maji maji
Ana miaka mingapi toka afarikiKuna huyu dogo Muitaliano Rosalia rombrado yeye ukimuona unaweza kuhisi labda ataamka baadae yuko well preserved na mwili wake huko vizuri kiasi kwamba wanaofika kumuangalia huwa wanamuita "sleeping beauty" yaani hadi organ zake za ndani ya mwili ziko intact bado.View attachment 819416
huyu niliwahi soma mahali macho yake hufunguka!Kuna huyu dogo Muitaliano Rosalia rombrado yeye ukimuona unaweza kuhisi labda ataamka baadae yuko well preserved na mwili wake huko vizuri kiasi kwamba wanaofika kumuangalia huwa wanamuita "sleeping beauty" yaani hadi organ zake za ndani ya mwili ziko intact bado.View attachment 819416