King Tutankhamun; Roho ya Farao (Mummy) iliyowamaliza watu kwa laana yake kali.

Dini ni ishu sensitive sana let's approach it with a lot of caution ili tusikwazane wakuu. Asante
UNAJUA NINI!
unaliishi jina lako!
Sidhani huu unyenyekevu wa lugha unao JF tu!
WABARIKIWE WAZAZI WAKO!
HAPA SIJASEMA KUWA UNA UPEO NA UELEWA WA VITU AMBAVYO UNAVIRAHISISHA KUELEWEKA KWA LUGHA NYEPESI SANA!
HONGERA SANA mkuu!
 
Daahh story imetulia sana haichoshi kusoma..
Kongole kwako mkuu,
ngoja niirudie tena[emoji3]

Hivi cleopatra nae si alikua kiongozi wa misri
Alikua miaka ya baada au kabla ya yesu? Nae mwili wake upo? Nasikia alikuwa kisu balaa[emoji3]
hahahaha!
watuwekee mummy ya CLEOPATRA JAMANI!
Humble African kwa hisani yako tafadhali tunaomba utuletee bandiko la Cleo!
mbwembwe zake,urembo wake,utawala wake,alikufaje,picha zake!
hapa namuwaza alikuwa na bonge la figaaa!unywele hatar!guu la bia!macho ya gololi,shingo ya upanga, rangi ya chungwa,
excuse my bad humor! but natamani kujua zaidi kuhusu huyu mama!
 
Mkuu uliahidi pdf ya hicho kitabu hapa jukwaani vipi maendeleo au kinapatikana online?
 
Sasa kwanini hatukutawala ulaya mimi sijakata nimesema zamani before Karne ya 14-16 sisi tulikua sawa na wazungu tu hâta kuwazidi maendeleo on science and medicine ila wenzetu waliamka sisi bado tukawa tunaruhusu twende na nature
 
Sasa kwanini hatukutawala ulaya mimi sijakata nimesema zamani before Karne ya 14-16 sisi tulikua sawa na wazungu tu hâta kuwazidi maendeleo on science and medicine ila wenzetu waliamka sisi bado tukawa tunaruhusu twende na nature
oooohh hapo tuko pamoja" but kilichotokea ' ni mabadiliko tu ya kidunia" huwezi kuwa mtawala milele
 
Shukrani mkuu Da'Vinchi kwa ufafanuzi zaidi, binafsi sio historian professionally ila napenda kujua mimi ni nani katika dunia hii.
 
Ila mummy huwa wanatisha sana aisee
Ni kweli ila ajabu pale Cairo, Misri wako kibao kwenye museum ya taifa watu wanalipia kuwaona hadi watoto wanaruhusiwa kuingia na kujionea watawala wa zamani... !

Ila Mimi sioni kama wanatisha eti?
 
Ni kweli ila ajabu pale Cairo, Misri wako kibao kwenye museum ya taifa watu wanalipia kuwaona hadi watoto wanaruhusiwa kuingia na kujionea watawala wa zamani... !

Ila Mimi sioni kama wanatisha eti?
Aah sio kiivyo,, any way ila jamaa dawa walizotumia sio mchezo asee

Ss kuna mummy wengine unakuta ana ngozi flesh kbs km kafa leo, huwa wanahifadhiwa kwenye madawa ya maji maji
 
UNAJUA NINI!
unaliishi jina lako!
Sidhani huu unyenyekevu wa lugha unao JF tu!
WABARIKIWE WAZAZI WAKO!
HAPA SIJASEMA KUWA UNA UPEO NA UELEWA WA VITU AMBAVYO UNAVIRAHISISHA KUELEWEKA KWA LUGHA NYEPESI SANA!
HONGERA SANA mkuu!
It gives great joy kuona comment murua kama hii yako mkuu.

Nimefurahi!
 
Aah sio kiivyo,, any way ila jamaa dawa walizotumia sio mchezo asee

Ss kuna mummy wengine unakuta ana ngozi flesh kbs km kafa leo, huwa wanahifadhiwa kwenye madawa ya maji maji
Kuna huyu dogo Muitaliano Rosalia rombrado yeye ukimuona unaweza kuhisi labda ataamka baadae yuko well preserved na mwili wake huko vizuri kiasi kwamba wanaofika kumuangalia huwa wanamuita "sleeping beauty" yaani hadi organ zake za ndani ya mwili ziko intact bado.
 
huyu niliwahi soma mahali macho yake hufunguka!
Aiseee!
sasa si manake yuko hai!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…