Aisee, "All of the facial features were painted in black and lips were reddened", halafu tena "His skin was darkened and his nose was flattened by the bandages".Kitabu chake hiki hapa nimekipata mbali sana karibuni wadau tusome.
Yaani wote huo ni ubishi tu kujaribu kuonesha kuwa labda rangi nyeusi waliyojichorea ilikuwa bahati mbaya maybe, na hizo bandages zikaenda kuchagua mifupa ya pua tu kuiflatisha, pembeni wakaweka handsome boy wa kizungu in real life ya Tut.