Mkushi Da Gama
JF-Expert Member
- Jun 23, 2015
- 3,692
- 4,991
Kipo juu hapo kishawekwaMkuu uliahidi pdf ya hicho kitabu hapa jukwaani vipi maendeleo au kinapatikana online?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipo juu hapo kishawekwaMkuu uliahidi pdf ya hicho kitabu hapa jukwaani vipi maendeleo au kinapatikana online?
Dooooh!!humbe African
Nalendwa hapo kwa king tut kama snowhite akimuoa farao mdogo maana yake wataunganishwa naye katika dunia nyingine kupitia mummification na kuuwawa kama ilivyoelezwa kwenye maandiko matakatifu
Ukiwa mke wa farao alafu farao akafa kabla yako basi jua hutabaki mjane maana watakuua, watapasua kifua chako kisha watatoa organi zako kisha wataziweka kwenye canupagus(sina uhakika na spellin) alafu wataku-mummified.
Wakati wa ndoa ni kiapo cha damu wanakutoa damu kwa jambia yaani ...
Hapo kwenye moyo kufikiri,mi nawaunga mkono at some point!Walikuwa wana imani nyingi sana za kipuuzi mfano kuamini kwamba moyo ndio unaotumika kwa ajili ya kufikiri na Ku reason mambo na sio ubongo.
Ila sijui walikuwa wanaishi after life spiritually maana roho zao ziliwahadabisha sana watu wenye tamaa na wabishi but unfortunately wao waliamini miili yao itaishi eternity then roho zao ndio zikaishi eternity.
Unajua wewe unamiliki mwili wa kike ila akili ya kiume ndio maana jamaa anakutoa j sisters anakuweka TMT. [emoji23] [emoji23]Dooooh!!
Mimi ni mama mkuu!!
Sioi!
Humble African hili jukwaa kweli la TMK.
msitufanyie hivyo hahahahaha
Hata sisi waswahili tunakosea kuamini moyo kazi yake kutunza hisia na vitu kama Hivyo...!Hapo kwenye moyo kufikiri,mi nawaunga mkono at some point!
Kipi huanza brother!
Fikara au maamuzi!
As in naanza kufikiri kuamua
Au naanza kuamua kufikiri?
Mi naamini
Fikara ni ya akili!!
Utashi ni wa moyo!!
Au!?
Nani huyu Farao?
Its the one with pen who control the story.History ya Africa imesheheni mengi japo wazungu wanajitahidi kupotosha ndo mana hata mitume na manabii wa kale huenda walikuwa blacks
Hahahahaha hii imbecile nimeisikia kwa sauti ujue!!Hata sisi waswahili tunakosea kuamini moyo kazi yake kutunza hisia na vitu kama Hivyo...!
Moyo una kazi moja tu mwilini..kusukuma damu.. Vingine tunavyovihusisha navyo ni sound kama za Misri ya kale na imani yao kwenye moyo kuhusika na kuwaza Na kufanya maamuzi.
Imbecile!
My baaad!!Unajua wewe unamiliki mwili wa kike ila akili ya kiume ndio maana jamaa anakutoa j sisters anakuweka TMT. [emoji23] [emoji23]
Simply brainiac!
Very true!Its the one with pen who control the story.
Wazungu waliimiliki pen na ndio maana wame control story yote ya Dunia iwe wao wanavyotaka na kuwa favour zaidi wao zaidi.
Mkuu kwahiyo kwenye ile sehemu ya nje kabisa ya kaburi, palikuwa pamejifukia kiasi kwamba hata yale madirisha na mlango vilikuwa havionekani au ni vipi!?.Shukrani mkuu!
Tuko pamoja sana JF ndio darasani kwetu sote na kila mmoja ni mwalimu na mwanafunzi kwa wakati mmoja. Asante!
Tupo sema tunapita kimya kimya.....Without any hesitation! snowhite I'll try my level best to get you posted and updated.
Nimefurahi kwanza kuona huko interested na hizi mada ambazo wadada wengi wanazikimbia na kuziona complex and complicated! Wanabaki MMU na chit chart huku intelligence wanapakimbia.
Iweke mkuuNatamani niweke moja ya picha nikiwa Hapo ktk pyramid na makumbusho ya taifa ya misri ,kukazia hii Mada, ahsante mleta Mada
Ahahaha!! Nice to see you..sijuagi kama na wewe huwa unapitia huku.Tupo sema tunapita kimya kimya.....
Ndio hivyo mkuu...ndio maana iliwachukua miaka mingi kugundua King Tut alipolala maana usawa wa kaburi ulikuwa sawa na urefu wa hicho kifusi na tena bado mwamba ukachimbwa deep down the semipermeable Rock.Mkuu kwahiyo kwenye ile sehemu ya nje kabisa ya kaburi, palikuwa pamejifukia kiasi kwamba hata yale madirisha na mlango vilikuwa havionekani au ni vipi!?.
Sana ndugu yanguTuko pamoja sana Guasa.