King Tutankhamun; Roho ya Farao (Mummy) iliyowamaliza watu kwa laana yake kali.

King Tutankhamun; Roho ya Farao (Mummy) iliyowamaliza watu kwa laana yake kali.

humbe African

Nalendwa hapo kwa king tut kama snowhite akimuoa farao mdogo maana yake wataunganishwa naye katika dunia nyingine kupitia mummification na kuuwawa kama ilivyoelezwa kwenye maandiko matakatifu

Ukiwa mke wa farao alafu farao akafa kabla yako basi jua hutabaki mjane maana watakuua, watapasua kifua chako kisha watatoa organi zako kisha wataziweka kwenye canupagus(sina uhakika na spellin) alafu wataku-mummified.

Wakati wa ndoa ni kiapo cha damu wanakutoa damu kwa jambia yaani ...
Dooooh!!
Mimi ni mama mkuu!!
Sioi!
Humble African hili jukwaa kweli la TMK.
msitufanyie hivyo hahahahaha
 
Walikuwa wana imani nyingi sana za kipuuzi mfano kuamini kwamba moyo ndio unaotumika kwa ajili ya kufikiri na Ku reason mambo na sio ubongo.

Ila sijui walikuwa wanaishi after life spiritually maana roho zao ziliwahadabisha sana watu wenye tamaa na wabishi but unfortunately wao waliamini miili yao itaishi eternity then roho zao ndio zikaishi eternity.
Hapo kwenye moyo kufikiri,mi nawaunga mkono at some point!

Kipi huanza brother!
Fikara au maamuzi!
As in naanza kufikiri kuamua
Au naanza kuamua kufikiri?

Mi naamini
Fikara ni ya akili!!
Utashi ni wa moyo!!

Au!?
 
81C09585-AB4D-4A89-9626-0A587EC87F7B.jpeg
81C09585-AB4D-4A89-9626-0A587EC87F7B.jpeg
 
Hapo kwenye moyo kufikiri,mi nawaunga mkono at some point!

Kipi huanza brother!
Fikara au maamuzi!
As in naanza kufikiri kuamua
Au naanza kuamua kufikiri?

Mi naamini
Fikara ni ya akili!!
Utashi ni wa moyo!!

Au!?
Hata sisi waswahili tunakosea kuamini moyo kazi yake kutunza hisia na vitu kama Hivyo...!

Moyo una kazi moja tu mwilini..kusukuma damu.. Vingine tunavyovihusisha navyo ni sound kama za Misri ya kale na imani yao kwenye moyo kuhusika na kuwaza Na kufanya maamuzi.

Imbecile!
 
History ya Africa imesheheni mengi japo wazungu wanajitahidi kupotosha ndo mana hata mitume na manabii wa kale huenda walikuwa blacks
Its the one with pen who control the story.

Wazungu waliimiliki pen na ndio maana wame control story yote ya Dunia iwe wao wanavyotaka na kuwa favour zaidi wao zaidi.
 
Hata sisi waswahili tunakosea kuamini moyo kazi yake kutunza hisia na vitu kama Hivyo...!

Moyo una kazi moja tu mwilini..kusukuma damu.. Vingine tunavyovihusisha navyo ni sound kama za Misri ya kale na imani yao kwenye moyo kuhusika na kuwaza Na kufanya maamuzi.

Imbecile!
Hahahahaha hii imbecile nimeisikia kwa sauti ujue!!
 
Unajua wewe unamiliki mwili wa kike ila akili ya kiume ndio maana jamaa anakutoa j sisters anakuweka TMT. [emoji23] [emoji23]

Simply brainiac!
My baaad!!
Sentensi ya 3679533 kutoka kwa watu 7865333 kuhusu hii.
Wakati ni
Boooonge la fala mmoja kuna jamaa ananiburuza hadi najionea huruma.
 
Its the one with pen who control the story.

Wazungu waliimiliki pen na ndio maana wame control story yote ya Dunia iwe wao wanavyotaka na kuwa favour zaidi wao zaidi.
Very true!
Hawaandiki kabisa kuhusu wao kuwa weusi nasi kuwa weupe kwa tafsiri yao.
 
Shukrani mkuu!

Tuko pamoja sana JF ndio darasani kwetu sote na kila mmoja ni mwalimu na mwanafunzi kwa wakati mmoja. Asante!
Mkuu kwahiyo kwenye ile sehemu ya nje kabisa ya kaburi, palikuwa pamejifukia kiasi kwamba hata yale madirisha na mlango vilikuwa havionekani au ni vipi!?.
 
Mkuu kwahiyo kwenye ile sehemu ya nje kabisa ya kaburi, palikuwa pamejifukia kiasi kwamba hata yale madirisha na mlango vilikuwa havionekani au ni vipi!?.
Ndio hivyo mkuu...ndio maana iliwachukua miaka mingi kugundua King Tut alipolala maana usawa wa kaburi ulikuwa sawa na urefu wa hicho kifusi na tena bado mwamba ukachimbwa deep down the semipermeable Rock.

Haikuwa kazi rahisi kutrace makazi ya milele ya king Tut
 
Last edited:
Back
Top Bottom