Kinga ya bunge dhidi ya mh:Pinda

nchi inaendeshwa kwa utaratibu wake ukikataa amri ya polisi upigwe tu sasa wakufanye nini aombe msamaha kwa lipi?
 
i have liked your post simply because of that statement in red there.

Dude ,you either need to go back to your english class or stop commenting in english..no disrespect
 
'apigwe tu' akimaliza hiyo namfungulia kupinga ubunge wake si halali sababu hakuchaguliwa wala sio viti praise power. Si mbunge halali.
 

uuu
Mkuu mbona hueleweki? Hoja yako ni nini? Hoja iliyopo inamisingi ya kisheria, kama hujui sheria ni bora kukaa pembeni. Usipo changia mada hakuna ambaye ange gundua upeo wako mdogo wa sheria na ku reason.
 
wanaojiita wanaharakati wa LHRC ni makada wa chadema niliwaona kwenye ITV ni wachagga, je unategemea watatumia weledi kujua kama mbunge akisema bungeni anashtakiwa au maamuzi yake ataongozwa ubavicha?

uchaga umetokea wapi hapo? Umeanza mawazo ya miaka 50 ilopita! Wewe msichana hujaingia hedhi unadhani ni mimba, hakuna hupati diet nzuri tu ndo maana!ongeza diet uingie hedhi yako mawazo mabaya yapungue ya ukabila
 
Tatixo liko wapi. Subirini mahakama itoe maamuzi maana tayati kesi iko mahakamani.
 

JK: "nalisema kweupe, machi makavu sasa nimechoka" tutawasaka tuwafurumushe tuchimbue silaha na risasi zao"
 
Dude ,you either need to go back to your english class or stop commenting in english..no disrespect

am not sure of what you are talking about, though i cant say am compintent in that language but at least am far away from you given my background and where i used to spend before.
 
am not sure of what you are talking about, though i cant say am compintent in that language but at least am far away from you given my background and where i used to spend before.

what is that even supposed to mean?
  • :rip:

ENGLISH



 
Tusipochukua hatua mapema dhidi ya sumu hii ya ukabila, kuwa mchaga itakuja kuonekana kama ni kosa fulani hivi.
Duhhh,
yaani mtu umemuona kwenye tv kisha ukajua kuwa ni mchagga?
Kweli bange ni mbaya, kama sio bange vitakuwa ni vitu vingine tu vya kimila kama laana, kubemendwa na makuzi mabaya
 
Kinga haina mipaka..??? Yaani hata mtu akiamua ampige spika au yeyote yule akiwa ndani ya bunge bado atakuwa na kinga..??
Hapana kuna kitu ujakielewa ndugu ebu pitia ile ibara ya 100 ya katiba utajua kinacho maanishwa"kutakuwa na uhuru wa mawazo, majadiliano na utaratibu ktk bunge na uhuru huo hautavunjwa wala kuhojiwa na chombo chochote ktk jamuhuri ya muhungano au ktk mahakama au MAHALI PENGINEPO NJE YA BUNGE."ndugu kama mbunge akifanya jambo kinyume na sheria bac atashitakiwa na kuhazibiwa kwa mujibu wa sheria kanunu na taratibu za bunge na c vinginevyo ndio maana ya ibara ya 100 ya katiba
 
Mkuu ni vema kusubiri maamuzi ya mahakama,mbona siku hizi mmeanza kuziogopa mahakama zenu?
 
what is that even supposed to mean?
  • :rip:
ENGLISH


basically, arguing with poor minded of your nature makes me feel more ashamed, you think that there is something in yo mind but actually you are an empty mind who knows nothing even his/her name.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…