Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
King'amuzi kipi Bomba jamani? mimi hawa startimes/tbc inaonekama ni king'amuzi cha kisiasa zaidi maana sipendi kuangalia TBC, Channel ten, na akina sibuka sitaki kabisa. Nataka kuangalia ITV, star tv angalau unaweza kupata habari nzuri. wanawalazimisha watu kuangalia hilo li TBC hata kama hawataki we angalia hata usipolipia TBC inaonekana na ndipo watu wanapoiona TBC kuwa sio competitive product.
Ulitegemea nini kwenye kitu ya kichina hiyo?awali kilikuwa kikikamata shwari kabisa lakini baada ya hali ya hewa kubadilika, king'amuzi cha TBC/star time kinarusha station zote kwa kukwaruza mithili ya CD au video tape iliyokwaruzika.shida tupu!
sibuka wanatatizo gani mbona mimi naona hawa ndiyo wameirudishia kihai
awali kilikuwa kikikamata shwari kabisa lakini baada ya hali ya hewa kubadilika, king'amuzi cha TBC/star time kinarusha station zote kwa kukwaruza mithili ya CD au video tape iliyokwaruzika.shida tupu!
Unaangalia TV unaskia muziki toka Redio Sibuka,Magic FM ni upuuzi mtupu..
Usiseme hivyo bwana, wengine kinatusaidia kuona mashindano ya club bingwa ulaya kupitia KBC1 na mara mojamoja ligi ya uingereza kupitia Sibuka, kina umhimu wake ukilinganisha na gharama yake, ukiona kinakuzingua unachagua dstv kilichobora zaidi au ting cha agape, ile mie sijui permaformance yake ikoje.awali kilikuwa kikikamata shwari kabisa lakini baada ya hali ya hewa kubadilika, king'amuzi cha TBC/star time kinarusha station zote kwa kukwaruza mithili ya CD au video tape iliyokwaruzika.shida tupu!
awali kilikuwa kikikamata shwari kabisa lakini baada ya hali ya hewa kubadilika, king'amuzi cha tbc/star time kinarusha station zote kwa kukwaruza mithili ya cd au video tape iliyokwaruzika.shida tupu!
Unaangalia TV unaskia muziki toka Redio Sibuka,Magic FM ni upuuzi mtupu..
hivi kukirudisha inawezekana? Nataka wanipe hela yangu niangalie ustaarabu mwingine
kanunue kingamuzi cha ufufuo na uzima ujue wachawi wako ni kinanani na utatokaje na laanza za wazazi wetu mateso yao tuyavuaje!!