king'amuzi

Nahitaji utengeneze jeneza zuri la saizi yako liwe zuri kiasi kwamba mtu akiliona atatamani awe amekufa na awekwe ndani ya hilo jeneza



 
liking'amuz langu la startimes linascrach km cd mbovu.sijui nifanye nn?
 
afu wewe Fidel80 masuala ya ku beep wakati nimejiunga na kifurushi cha SUPA CHEKA nakupigia hupokei sitaki kama simu yako kimeo ishia huko huko!!!
 
Last edited by a moderator:
Lo! afadhali umeleta hii mada hata mie nilikuwa natumia M4C wala sielewi hizo mambo za ving'amuzi ngoja tuwasome wataalamu.

 
Kuna na DSTV plz!
 
Napenda kuwashukuru wadau wooooote kwa ushauri wenu... Nimechagua DSTV na nimeshaongea nao soon watakuja niunganishia... Shukrani za dhati zimuendee my lovely daddy watu8 na wengine woooote..... MBARIKIWE SAAANA
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…