Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
mifumoMifuko gani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mifumoMifuko gani
Sio kweli nimeona hiyo desplay yake na nimefanya Sana hiyo kazi boresha signal zako kwanza then nikuoneshe pa kuki restore hiko kisimbusi chakoNikienda kukifactory default kinagoma maana kinadesplay startimes had setting zake ko ukiingiza pascode kinagoma
Wakati hazioneshi neema gani hiyo?Neema hiyo ishi na channel hizo
kikiwa hivyo Hapati huduma wataalam walituliaNeema hiyo ishi na channel hizo
Changamoto hata setting kinadisplay setting kama startimes, na nikienda kurestore kinaanza na code hapo katika bar za kuingiza pasword, moja inaonekana kama imejazwa na ukiifuta haitok pia ukiweka zingine inagoma.Sio kweli nimeona hiyo desplay yake na nimefanya Sana hiyo kazi boresha signal zako kwanza then nikuoneshe pa kuki restore hiko kisimbusi chako
Mkuu hapa unaingiza namba gani???Changamoto hata setting kinadisplay setting kama startimes, na nikienda kurestore kinaanza na code hapo katika bar za kuingiza pasword, moja inaonekana kama imejazwa na ukiifuta haitok pia ukiweka zingine inagoma.View attachment 2977723View attachment 2977724
Mkuu hii setting n sahii kabisa ni ya Azam tv wewe unaingiza passcode namba Gani lamda tuanzie hapoChangamoto hata setting kinadisplay setting kama startimes, na nikienda kurestore kinaanza na code hapo katika bar za kuingiza pasword, moja inaonekana kama imejazwa na ukiifuta haitok pia ukiweka zingine inagoma.View attachment 2977723View attachment 2977724
Hiyo ni startimes mkuu niamini mimi kakaMkuu hii setting n sahii kabisa ni ya Azam tv wewe unaingiza passcode namba Gani lamda tuanzie hapo
Feki hilo.Habari wakuu naombeni msaada, Gafla king'amzi changu cha Azam kimeanza kuonesha Channel za startimes, ni baada ya kuishiwa kifurushi, Cha ajabu leo kiliomba ni search new channel na baada ya hilo zoez nashangaa kimecapture channel za startimes
Naombeni msaada kwa wazoefu ni king'amzi cha Anntena.
View attachment 2977717View attachment 2977718
Mkuu hiyo display sio ya starHiyo ni startimes mkuu niamini mimi kaka
Nakutania tu, kuna mtu pia aliwahi lalamika hivyo hivyo, sijui sababu haswa ni niniSasa sijakitoa ila ukiangalia hapo juu kwa Tv kuna logo ya azam tv
Anza kuangaliaHabari wakuu naombeni msaada, Gafla king'amzi changu cha Azam kimeanza kuonesha Channel za startimes, ni baada ya kuishiwa kifurushi, Cha ajabu leo kiliomba ni search new channel na baada ya hilo zoez nashangaa kimecapture channel za startimes
Naombeni msaada kwa wazoefu ni king'amzi cha Anntena.
View attachment 2977717View attachment 2977718
Habari wakuu naombeni msaada, Gafla king'amzi changu cha Azam kimeanza kuonesha Channel za startimes, ni baada ya kuishiwa kifurushi, Cha ajabu leo kiliomba ni search new channel na baada ya hilo zoez nashangaa kimecapture channel za startimes
Naombeni msaada kwa wazoefu ni king'amzi cha Anntena.
Zali ganzali hilo
Ndio kinatokea kwangHongera,lakini sidhani kama utaweza kuzifungua hadi uwe na decoder yao, labda zile ambazo ni FTA, ukiwa na TV ya kisasa ukiunganisha antena unaweza kupata digital channels, lkn kama ziko locked hautaweza kuzifungua utaweza kuangalia za free tu.