Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
Sababu zote ni terrestrial, ingekua continental ipo hai pia ungepata chanell zao ambazo zilikua hazijafungwa.Habari wakuu naombeni msaada, Gafla king'amzi changu cha Azam kimeanza kuonesha Channel za startimes, ni baada ya kuishiwa kifurushi, Cha ajabu leo kiliomba ni search new channel na baada ya hilo zoez nashangaa kimecapture channel za startimes
Naombeni msaada kwa wazoefu ni king'amzi cha Anntena.