King'amzi changu cha AZAM kinaonesha channel za Startimes

King'amzi changu cha AZAM kinaonesha channel za Startimes

Habari wakuu naombeni msaada, Gafla king'amzi changu cha Azam kimeanza kuonesha Channel za startimes, ni baada ya kuishiwa kifurushi, Cha ajabu leo kiliomba ni search new channel na baada ya hilo zoez nashangaa kimecapture channel za startimes

Naombeni msaada kwa wazoefu ni king'amzi cha Anntena.

Sababu zote ni terrestrial, ingekua continental ipo hai pia ungepata chanell zao ambazo zilikua hazijafungwa.
 
Kama ni cha dish nakupa majibu kitaalam ,kwamba azam wapo nyuzi 7 eutelsat7c na startimes wapo nyuzi 5 ses5 kwa hiyo dish linapokuwa limekaa muda mrefu kutokana na changamoto za upepo inetegemea dish lako lilifungwa na fundi au kishoka,dish likilegea lazima litainama kidogo na kuinama litakushuka kuitafuta hiyo nyuzi 5 ilipo startimes na likishuka zaidi hada startimes zitapotea nazo.kwa hiyo nakushauri tafuta fundi aimarishe dish lako achana na ishu ya kufactory dikoda
 
Back
Top Bottom