Kingereza kitafelisha wengi kwenye Oral Interview. Mwalimu kama hujui kingereza ni bora usijisumbue

Kingereza kitafelisha wengi kwenye Oral Interview. Mwalimu kama hujui kingereza ni bora usijisumbue

October 2pm

Senior Member
Joined
May 2, 2023
Posts
106
Reaction score
282
Jamhuri ya Muungano....

Kwenye usaili wa Oral Kada ya afya wengi wameboronga kwa sababu ya kingereza kibovu. Kutokujua kingereza wengi kumewafanya wasijiamini katika kujieleza.

Ndugu zetu walimu ni vizuri Siku Mbili zilizobakia kama unajijua unaongea broken English, bora ujipige Msasa kuficha udhaifu huo.

Maswali yalikuwa marahisi lakini changamoto Kwa wengi ilikuwa kujieleza Kwa ufasaha Kwa kingereza.
Mwalimu kama unajijua Somo Lako utatumia kingereza kufundishia jitahidi Sana kujinoa. Maana Broken English huku itakufanya ukandwe.

Umuhimu wa kusoma Shule za English Medium kwèñye hizi interview unaonekana.
Yule liqud anawadanganya.
 
Jamhuri ya Muungano....

Kwenye usaili wa Oral Kada ya afya wengi wameboronga kwa sababu ya kingereza kibovu. Kutokujua kingereza wengi kumewafanya wasijiamini katika kujieleza.

Ndugu zetu walimu ni vizuri Siku Mbili zilizobakia kama unajijua unaongea broken English, bora ujipige Msasa kuficha udhaifu huo.

Maswali yalikuwa marahisi lakini changamoto Kwa wengi ilikuwa kujieleza Kwa ufasaha Kwa kingereza.
Mwalimu kama unajijua Somo Lako utatumia kingereza kufundishia jitahidi Sana kujinoa. Maana Broken English huku itakufanya ukandwe.

Umuhimu wa kusoma Shule za English Medium kwèñye hizi interview unaonekana.
Yule liqud anawadanganya.
Kuna tatizo kwenye ufundishaji(walimu incompetents) na wala si English medium schools kuwa suluhisho.Hata hao lugha haijanyooka kwa walio wengi.
 
Kwanza unawazungumzia walimu wa wapi? Wa Tanzania au kenya? Unazungumzia walimu wa sec au primary? Yote ya yote hakuna mwalim ambaye amesoma chuo na akamaliza diploma yake au digrii yake na akashindwa kujielewa.
Nakubaliana katk usaili kuna mengi lakn mtoa mada ni bora ungewapa moyo kuliko kuwakatisha tamaa hivi. Hakika hayajakukuta ndio maana ila ogopa saana kukaa mtaani ndugu yangu narudia tena ogopa saana kukaa mtaani afu hupa ishu....

NILIWAHI KUKAA KITAA DAH! NIKAWA NASHINDIA MIHOGO YA MIA MBIL NA MAJI ILI SIKU IPITE. tuwatie saana moyo hawa vijana wanaosaka ajira.
 
Jamhuri ya Muungano....

Kwenye usaili wa Oral Kada ya afya wengi wameboronga kwa sababu ya kingereza kibovu. Kutokujua kingereza wengi kumewafanya wasijiamini katika kujieleza.

Ndugu zetu walimu ni vizuri Siku Mbili zilizobakia kama unajijua unaongea broken English, bora ujipige Msasa kuficha udhaifu huo.

Maswali yalikuwa marahisi lakini changamoto Kwa wengi ilikuwa kujieleza Kwa ufasaha Kwa kingereza.
Mwalimu kama unajijua Somo Lako utatumia kingereza kufundishia jitahidi Sana kujinoa. Maana Broken English huku itakufanya ukandwe.

Umuhimu wa kusoma Shule za English Medium kwèñye hizi interview unaonekana.
Yule liqud anawadanganya.
English tena jamani? si waangalie tuu vyeti.mambo gani hayo ya kuanza kupanikisha.Sasa GPA zina kazi gani?
 
You had nailed the privacy of the panel about English as the medium of communication but you failed to write your advise in English language.
Acha tuu Mkuu yani Jobless tunapigwa vita mchana na usiku, unasema ngoja nipumzishe kichwa na hustle za mchana unakuja uku unakuta mawe yanatumpwa gizani🙌🙌🙌🙌
 
Acha tuu Mkuu yani Jobless tunapigwa vita mchana na usiku, unasema ngoja nipumzishe kichwa na hustle za mchana unakuja uku unakuta mawe yanatumpwa gizani🙌🙌🙌🙌
Mdogo wangu usitishwe interview ni kujiamini juu ya yale yaliyo sahihi, hivyo achana na wabongo kama huyo jamaa furaha yake ni kuona jobless wanateseka pasipo sababu ya msingi.
 
Back
Top Bottom