Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si wanasema si lazima watoto wetu kusoma kiingereza?Jamhuri ya Muungano....
Kwenye usaili wa Oral Kada ya afya wengi wameboronga kwa sababu ya kingereza kibovu. Kutokujua kingereza wengi kumewafanya wasijiamini katika kujieleza.
Ndugu zetu walimu ni vizuri Siku Mbili zilizobakia kama unajijua unaongea broken English, bora ujipige Msasa kuficha udhaifu huo.
Maswali yalikuwa marahisi lakini changamoto Kwa wengi ilikuwa kujieleza Kwa ufasaha Kwa kingereza.
Mwalimu kama unajijua Somo Lako utatumia kingereza kufundishia jitahidi Sana kujinoa. Maana Broken English huku itakufanya ukandwe.
Umuhimu wa kusoma Shule za English Medium kwèñye hizi interview unaonekana.
Yule liqud anawadanganya.
Ninacho kubaliana na wewe ni kimoja kuwa kuna umuhimu wa lugha ya kingereza kuwa lugha ya kufundishia kwa level zote za elimu na kweli ukienda kwenye usaili wowote hata wa utumishi utajua umuhimu wa hilo!Jamhuri ya Muungano....
Kwenye usaili wa Oral Kada ya afya wengi wameboronga kwa sababu ya kingereza kibovu. Kutokujua kingereza wengi kumewafanya wasijiamini katika kujieleza.
Ndugu zetu walimu ni vizuri Siku Mbili zilizobakia kama unajijua unaongea broken English, bora ujipige Msasa kuficha udhaifu huo.
Maswali yalikuwa marahisi lakini changamoto Kwa wengi ilikuwa kujieleza Kwa ufasaha Kwa kingereza.
Mwalimu kama unajijua Somo Lako utatumia kingereza kufundishia jitahidi Sana kujinoa. Maana Broken English huku itakufanya ukandwe.
Umuhimu wa kusoma Shule za English Medium kwèñye hizi interview unaonekana.
Yule liqud anawadanganya.
They may not tell you to explain but their questions will make you do so! What you need is to pay attention and give what you have in mind….Ukikata ngoma iwe droo, interviewer akiuliza swali mwambie explain more,hapo ndio utajua mbombo ni mbombo😄😄
Mjinga san a yule mzee,baada ya yeye kukijua hakutaka wengine wakijue,akajifanya kukomalia kiswahiliKwa hili la Kidhungu, Nyerere alitupiga kanyaboya
I concur,100%.Ewe job applicant, usije kufuata ushauri kama huu, ikiitwa usaili nenda!! Hawa wanaokukatisha tamaa hapa nao ni wasailiwa kama wewe, wanajaribu kupunguza ushindani kwa kuwakatisha tamaa wengine, ni wachawi hao.
😂😂😂😂 we are wasting our time blaming the dead Man,he can fix nothing …,those who came after his administration did nothing!Mjinga san a yule mzee,baada ya yeye kukijua hakutaka wengine wakijue,akajifanya kukomalia kiswahili
Kila kukicha wasailiwa mnapigana spana ninyi kwa ninyi. Mara usiombe mikoa hii, mara kama hujui lugha ya malkia baki nyumbani. Acheni hofu ombeni kazi, Mungu ndio mpaji
Hao wanaosimamia usaili wenyewe kiingereza kinawapiga chenga, wanapata wapi ujasiri wa ku select the best candidates basing on their English proficiency ?Jamhuri ya Muungano....
Kwenye usaili wa Oral Kada ya afya wengi wameboronga kwa sababu ya kingereza kibovu. Kutokujua kingereza wengi kumewafanya wasijiamini katika kujieleza.
Ndugu zetu walimu ni vizuri Siku Mbili zilizobakia kama unajijua unaongea broken English, bora ujipige Msasa kuficha udhaifu huo.
Maswali yalikuwa marahisi lakini changamoto Kwa wengi ilikuwa kujieleza Kwa ufasaha Kwa kingereza.
Mwalimu kama unajijua Somo Lako utatumia kingereza kufundishia jitahidi Sana kujinoa. Maana Broken English huku itakufanya ukandwe.
Umuhimu wa kusoma Shule za English Medium kwèñye hizi interview unaonekana.
Yule liqud anawadanganya.
Wengine wana GPA za chupi. Prove before the interviewers that the GPA on the paper is real yours.English tena jamani? si waangalie tuu vyeti.mambo gani hayo ya kuanza kupanikisha.Sasa GPA zina kazi gani?
The late Nyerere was afraid of fair competition in politics, so he never wanted other Tanzanians to be as exposed as he was.Mjinga san a yule mzee,baada ya yeye kukijua hakutaka wengine wakijue,akajifanya kukomalia kiswahili
They lied to you.Serikal si walisema Kiswahili kitumike kwenye interview za serikal
Hapo lazima waende na maji🤣🤣. unakumbusha yule dada mwenye A ya kifaransa kwenye cheti cha kufoji.akaitwa jamaa anayejua kifaransa ili amuhoji kwa kifaransa juu mashaka na cheti chake. Kikao cha mahojiano kiliishia kwenye salamu tu.Wengine wana GPA za chupi. Prove before the interviewers that the GPA on the paper is real yours.
Nchi imejaa wahuni sana.Hapo lazima waende na maji🤣🤣. unakumbusha yule dada mwenye A ya kifaransa kwenye cheti cha kufoji.akaitwa jamaa anayejua kifaransa ili amuhoji kwa kifaransa juu mashaka na cheti chake. Kikao cha mahojiano kiliishia kwenye salamu tu.
Wee unajikuta Nani wenzio wanachat swahili wewe unatumia kimombo😂😂😂😂😂 we are wasting our time blaming the dead Man,he can fix nothing …,those who came after his administration did nothing!