Kingo za daraja la Tanzanite zimegongwa

Kingo za daraja la Tanzanite zimegongwa

Huihui2

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2012
Posts
7,021
Reaction score
11,475
Hizo chini ni baadhi ya picha zinazoonyesha kingo za chuma zilivyogongwa kwenye daraja la Tanzanite linalounganisha Coco Beach na Aghakhan Hospital.

Kuna uendeshaji wa hovyo na wa kizembe unaofanyika na vijana wanaofanya mashindano wakiendesha magari aina ya Altezza.

Samia Suluhu Hassan, alizindua mnamo March 2022 daraja jipya la TANZANITE, lenye urefu wa kilomita 1.03 ambalo limetumia sh.bilioni 243 ambazo sehemu kubwa ni concessionary loan kutoka Serikali ya South Korea.

Kama Serikali haitachukua hatua dhidi ya vitendo hivi, wale wanaotudharau watanzania watakuwa na sababu ya kutudharau.

IMG-20230403-WA0079.jpg
IMG-20230403-WA0076.jpg
IMG-20230403-WA0076.jpg
IMG-20230403-WA0077.jpg
IMG-20230403-WA0078.jpg

 
ujinga wa wajenzi! mbona daraja la nyerere lina kingo ngumu waache ujinga waweke vitu vinaeleweka
Waweke zege la maana zege gumu kabisa lile wanalozungushia kwenye minara au visima vya maji kabisa sio hayo mapambo yaan inatakiwa mtu akigonga ang'oke na meno, abomoe fuvu la kichwa au avunje miguu na uti wa mgongo kabisa kabisa ili ya kwamba akiwa hospital ajifunze kuheshimu pesa za walipa Kodi
 
Hizo chini ni baadhi ya picha zinazoonyesha kingo za chuma zilivyogongwa kwenye daraja la Tanzanite linalounganisha Coco Beach na Aghakhan Hospital.


View attachment 2575439View attachment 2575440View attachment 2575439View attachment 2575440View attachment 2575441View attachment 2575442
Kwanza ni mradi wa hovyo wa JPM sawa tu na Chato Airport. Rais mwenye akili hawezi kumwaga 250 Billion kipuuzi hivyo ndani ya nchi maskini km hii wakati barabara nyingi za kuunganisha mikoa bado ni vumbi.
 
Back
Top Bottom