Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mara nyingine ajali haina kingaBongo ustaarabu zero
Kigamboni bridge hakuna Altezza?Hizo chini ni baadhi ya picha zinazoonyesha kingo za chuma zilivyogongwa kwenye daraja la Tanzanite linalounganisha Coco Beach na Aghakhan Hospital.
Kuna uendeshaji wa hovyo na wa kizembe unaofanyika na vijana wanaofanya mashindano wakiendesha magari aina ya Altezza.
Samia Suluhu Hassan, alizindua mnamo March 2022 daraja jipya la TANZANITE, lenye urefu wa kilomita 1.03 ambalo limetumia sh.bilioni 243 ambazo sehemu kubwa ni concessionary loan kutoka Serikali ya South Korea.
Kama Serikali haitachukua hatua dhidi ya vitendo hivi, wale wanaotudharau watanzania watakuwa na sababu ya kutudharau.
Hata daraja la kigogo-busisi ni mradi wa ubinafsi kwasababu ni kwao. Unatumia 700 Billion kujenga kilomita 3.2? Ndani ya nchi iliyojaa shida km hii? Watanzania na vyeti vyao wanahahaha mitaani wanatukanwa kila aina ya matusi. Yule atalaaniwa mpaka vitukuu vyakeDaaah yaani kilometa 1 tuu imekula zaidi ya bilioni 240??? Wakati huo huo kuna mikoa bado haijaunganishwa kwa lami???
changamoto ni nyingi barabaraniAjali za pombe na simu
Cc Secret IDHizo chini ni baadhi ya picha zinazoonyesha kingo za chuma zilivyogongwa kwenye daraja la Tanzanite linalounganisha Coco Beach na Aghakhan Hospital.
Kuna uendeshaji wa hovyo na wa kizembe unaofanyika na vijana wanaofanya mashindano wakiendesha magari aina ya Altezza.
Samia Suluhu Hassan, alizindua mnamo March 2022 daraja jipya la TANZANITE, lenye urefu wa kilomita 1.03 ambalo limetumia sh.bilioni 243 ambazo sehemu kubwa ni concessionary loan kutoka Serikali ya South Korea.
Kama Serikali haitachukua hatua dhidi ya vitendo hivi, wale wanaotudharau watanzania watakuwa na sababu ya kutudharau.
Huu ni mradi wa JK kuanzia planning, financing hadi jiwe la msingi. JPM alikuja ku implement tuKwanza ni mradi wa hovyo wa JPM sawa tu na Chato Airport. Rais mwenye akili hawezi kumwaga 250 Billion kipuuzi hivyo ndani ya nchi maskini km hii wakati barabara nyingi za kuunganisha mikoa bado ni vumbi.
leo nilikua natokea tanga to arusha majira ya 6 mchana maeneo ya KIA kwa wasomali kuna daraja lilijaa maji tumesubiri masaa zaidi3 kupisha majiWaangalie hapo mtu akitumbukia humo kwa mazingira ya hapo watatupiwa kamba wavutwe na ndoo
Au sio fundiHamna cha ajabu hapo watu wa maintenance waingie mzigoni familia zao zipate ftari
Tutaambiwa wananchi tulinde kingoHizo chini ni baadhi ya picha zinazoonyesha kingo za chuma zilivyogongwa kwenye daraja la Tanzanite linalounganisha Coco Beach na Aghakhan Hospital.
Kuna uendeshaji wa hovyo na wa kizembe unaofanyika na vijana wanaofanya mashindano wakiendesha magari aina ya Altezza.
Samia Suluhu Hassan, alizindua mnamo March 2022 daraja jipya la TANZANITE, lenye urefu wa kilomita 1.03 ambalo limetumia sh.bilioni 243 ambazo sehemu kubwa ni concessionary loan kutoka Serikali ya South Korea.
Kama Serikali haitachukua hatua dhidi ya vitendo hivi, wale wanaotudharau watanzania watakuwa na sababu ya kutudharau.
Mwamba kaipindua vxr 😃Angalia na hizi video clips hapa:-
Noma 😂😂Waweke zege la maana zege gumu kabisa lile wanalozungushia kwenye minara au visima vya maji kabisa sio hayo mapambo yaan inatakiwa mtu akigonga ang'oke na meno, abomoe fuvu la kichwa au avunje miguu na uti wa mgongo kabisa kabisa ili ya kwamba akiwa hospital ajifunze kuheshimu pesa za walipa Kodi
Mkoa gani?Daaah yaani kilometa 1 tuu imekula zaidi ya bilioni 240??? Wakati huo huo kuna mikoa bado haijaunganishwa kwa lami???
Madereva wengi ni vichaaWaendelee kifuatacho ni kuingia kwenye maji
Shida sanaMtu mweusi yy hajui kutengeneza ila anajua kutumia.