Mwalimu wa tuisheni
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 6,602
- 10,801
Dunia inamaajabuAngalia na hizi video clips hapa:-
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dunia inamaajabuAngalia na hizi video clips hapa:-
Kabisa, ukinitoa mimiMadereva wengi ni vichaa
Ova
Mabilioni yaliisha bila kununua camera [emoji23][emoji23]Waweke camera kufuatilia spidi, pia iwepo faini maalum, na askari mwanzo na mwisho wa daraja
Sidhani kama hiyo ni sababu ya kujenga darajaMtu unajenga madaraja eti kuupamba mji!
Kama ni fedha za ndani kwanini hawawezeshwi..?Bongo huna kampuni lenye uwezo wa kujenga project hiyo...makampuni hayana mitaji ya kutosha.
Huu ni mradi wa JK kuanzia planning, financing hadi jiwe la msingi. JPM alikuja ku implement S
Sawa kwani alifanya planning, financing, kwa fedha zake au za serikali, tatizo ujinga na udini umekuathiri ubongo wako ona unavyojiskia aibu.Huu ni mradi wa JK kuanzia planning, financing hadi jiwe la msingi. JPM alikuja ku implement tu
Nijisikie aibu ya nini wakati nimekupa facts. Halafu umedandia treni kwa mlango wa mbele. Nilikuwa namjibu mtu aliyesema kuwa Tanzanite Bridge ni mradi wa JPM. Muwe mnasoma kabla ya kukurupukaSawa kwani alifanya planning, financing, kwa fedha zake au za serikali, tatizo ujinga na udini umekuathiri ubongo wako ona unavyojiskia aibu.
Hujajiuliza KM 3 kujengwa kwa Bilioni 700?Daaah yaani kilometa 1 tuu imekula zaidi ya bilioni 240??? Wakati huo huo kuna mikoa bado haijaunganishwa kwa lami???
Kwa ile hali ya uharibifu hawezi kimbia popote pale, na yeye ndo atalipa hiyo hasaraHuyo aliyegonga kama amefanikiwa kukimbia basi akachinje. Ila kama amekamatwa asee atawajua Tanroad kina nani. Jamaa wana fine kubwa kuliko maelezo.
Hiyo ni ajali na katika ajali inayoharibu miundo mbinu kama hivyo, huwa wenye magari wanalipishwa faini itakayowezesha kujenga sehemu iliyoharibowa. Hivyo serikali isilielie, wanatakiwa kulikarabati hilo daraja na siyo kuchikichia hiyo helaHizo chini ni baadhi ya picha zinazoonyesha kingo za chuma zilivyogongwa kwenye daraja la Tanzanite linalounganisha Coco Beach na Aghakhan Hospital.
Kuna uendeshaji wa hovyo na wa kizembe unaofanyika na vijana wanaofanya mashindano wakiendesha magari aina ya Altezza.
Samia Suluhu Hassan, alizindua mnamo March 2022 daraja jipya la TANZANITE, lenye urefu wa kilomita 1.03 ambalo limetumia sh.bilioni 243 ambazo sehemu kubwa ni concessionary loan kutoka Serikali ya South Korea.
Kama Serikali haitachukua hatua dhidi ya vitendo hivi, wale wanaotudharau watanzania watakuwa na sababu ya kutudharau.
Hiyo ni kawaida kwa watu weusiHizo chini ni baadhi ya picha zinazoonyesha kingo za chuma zilivyogongwa kwenye daraja la Tanzanite linalounganisha Coco Beach na Aghakhan Hospital.
Kuna uendeshaji wa hovyo na wa kizembe unaofanyika na vijana wanaofanya mashindano wakiendesha magari aina ya Altezza.
Samia Suluhu Hassan, alizindua mnamo March 2022 daraja jipya la TANZANITE, lenye urefu wa kilomita 1.03 ambalo limetumia sh.bilioni 243 ambazo sehemu kubwa ni concessionary loan kutoka Serikali ya South Korea.
Kama Serikali haitachukua hatua dhidi ya vitendo hivi, wale wanaotudharau watanzania watakuwa na sababu ya kutudharau.
Lengo ni watu kufika mjini, ukiishia Pugu inakuwa bado ni kero kwa wasafiri wengineMiradi mingi Afrika ipo kiupigaji ....angalia SGR labda kwa uelewa wa kiwango changu ni vipi ilishindikana kufanya kituo kikuu kujengwa PUGU kuliko hizi gharama za kujengwa yale madaraja mf. Pale vingunguti,njia panda ya segerea,airport na kwingineko
Acha umama dogoKwanza ni mradi wa hovyo wa JPM sawa tu na Chato Airport. Rais mwenye akili hawezi kumwaga 250 Billion kipuuzi hivyo ndani ya nchi maskini km hii wakati barabara nyingi za kuunganisha mikoa bado ni vumbi.
Vipi hizi umeshajua zimejenga kitu gani?Hata daraja la kigogo-busisi ni mradi wa ubinafsi kwasababu ni kwao. Unatumia 700 Billion kujenga kilomita 3.2? Ndani ya nchi iliyojaa shida km hii? Watanzania na vyeti vyao wanahahaha mitaani wanatukanwa kila aina ya matusi. Yule atalaaniwa mpaka vitukuu vyake
Donald Trump akitaka kuisema Afrika anatita shithole countries. Naona yuko sawa maana hata yule mshindi wa uRais wa Nigeria Tinubu baada ya uchaguzi kaenda USA na Europe kupumzika. Lazima tudharauliweHiyo ni kawaida kwa watu weusi
Watu weusi popote duniani ni waharibifu na sio watunzaji
Wanajua kuharibu lakini kubuni, kuunda au kutengeneza hawajui
Hata huko USA pia wanajua kuwa watu weusi ni Wapumbavu na Waharibifu
Tazama vyoo vya public popote vilipo, Mtu yuko radhi akojoe nje ya ukuta wa choo wakati choo kipo wazi
Au wavunje sink za vyooni bila sababu