Kingunge: Mchakato wa kumpata Mgombea Urais CCM ulikuwa batili! Lowassa si fisadi kama inavyodhaniwa

Kuna watu wanasema ccm inakufa mwaka. Lakini hawajui nini kinachoiweka ccm hai, imara na ambacho kinachowaunganisha viongozi wa ccm. Uhai, uimara na umoja wa ccm unasababishwa na UFISADI. Bila ufisadi wa viongozi wa ccm, hakuna uimara tena. Kupiga vita ufisadi ni kuiua ccm.
 
anayedhani kuwa chama cha Mapinduzi hakiongozwi kihuni anasahau, aliyofanyiwa Lowasa ya ukosefu wa heshima na kudharauliwa wameshafanyiwa watu wengi, Kolimba (late), Mzee Jumbe, Mzee Moyo, Mansour Y Himid, Prof. Kighoma Malima (late), sasa Mzee Kingunge asubiri kugeuzwa jina na yeye, uhuni na uharamia uendelee
 
Mchaka mchaka chinja aliselema alija Magufuri njoo Mwanza tunakusubiri kwa hamu kubwa sana njoo bana njoo nyumbani bana bibi anaumwa njoo njooo huku bana
 
Haya mengine ni mazungumzo baada ya habari,hivi mnafahamu kwamba nyumbani kwa magufuli chato kwa mwaka sasa panalindwa na wanajeshi Wa jwtz! Nani aliamrisha apewe huo ulinzi kama si amiri jeshi mkuu?

Magufuli alifiwa na binti jk aliacha ziara ya ulaya anakokupenda akaenda chato ,mawaziri wangapi wamefiwa hajaenda zaidi ya kuwapa pole tu,kiufupi jk alimuandaa magufuli na jaji
Ramadhani ambae kilichomcost ni nafasi yake na msimamo Wa tume ya katiba
 
sawa Mzee Kingunge mbona mchakato wa katiba haukufuata taratibu haukusema??
 
KURA LIKE NYINGINE TENA,
Mkuu Hata mimi nilikuwa naamini haya uliyoyaandika japo kutokana na ushabiki mwingi kuna wakati nilikuwa nafikiri huenda kuna kitu labda wengine wanaona mimi sioni mpaka napinga hivi. Baada ya kutafakari nikaona kuwa niko sahihi!
 
kwa hiyo mama yako angepewa pesa angefanya hivyo hivyo kama kingunge ?au angetumia njia nyengine ku justify..

Muulize kwanza zile nilizompa mama yako ali justify vipi. Labda wewe ndiyo tunda la justification!
 
Hata bunge la katiba ccm walivuruga,ni chama cha watu fulani mifukoni
 
bora ujiongeze mapemaaaaa. kwani lowassa ndio ana hati miliki ya akili zako! tooootooooo:Cry::Cry::Cry:
 
Kama Kingunge asingekua na mgombea angeheshimika sana lakini kwa sasa atadharaulika sana hakuna atakaye msikiliza, huyu ni mnafiki.

Yeye alihusika sana kuweka utaratibu mbovu wa kuingia CCM alishauri kwa JK enzi hizo kwamba ili kua Mwanachama lazima mtu asome miezi 3 yeye na JK walikua miungu mtu tena alikua mnoko sana kuwasema vibaya wenzake kwa JK. Enzi zimebadilika Ubungo haitarudi tena mikononi mwake atulie wakati umepita, alisaidia sana kujenga makundi ndani ya CCM kwa maslahi binafsi.

Kamati ndogo ya maadili ile ya watu 5 ndiyo inafanya kazi ya kushauri lakini kamati ya Usalama na maadili inaruhusiwa kupunguza kwa sababu inaongozwa na Mwenyekiti wa Chama, kwa hiyo hakuna uhalali wa kusema hayo, lugha nzuri ya kumwambia huyu Mzee ni kwamba aache kuropoka muda wake umekwisha.
 

Sometyms the end justify the means. Kwa kukiuka hizo taratibu tumeweza kumpata mgombea asie na makundi wala si fisadi kama maamvi. Hata kama mapungufu si kama ya edo au membe. I pray to God awe na speed ile ile na in three years nchi itapata mwelekeo.
 

Jk hajawahi kumtaka MAGUFULI ....MAGUFULI amekuwa akipewa ulinzi tangu wakati wa Mkapa ..ni kawaida ..kwa PSU- Kitengo cha ulinzi wa viongozi wa wanaofanya security risk assessment kwa viongozi NA watu wengine muhimu ...NA ikionekana wazir I au kiongozi huzika Ana maadui basi ni jukumu la Kitengo kuagiza ulinzi stahiki ...level ziko Kama nne kwa kuangalia tishio .......NA eneo husika
MAGUFULI ni Kati ya mawaziri ambao wana maadui NA wana ulinzi ....wazi au wa Siri ..

Eneo Kama chato kuna Wimbi kubwa la wahamiaji haramu NA ujambazi kadiri DSO NA OCD wanavoweza kuona wanaweza kutoa ulinzi kwenye maeneo muhimu ..kwa kupitia chombo chochote cha ulinzi NA usalama ...Mfano mabank,Nyumba za Ibada...Nyumba za viongozi NA watu wengine maarufu wilaya kadiri ya ripoti ya usalama wa eneo husika ....

Kikatiba hata Mimi NA wewe tunaweza kulindwa Kama maisha yetu yanatushiwa ......,kuna wakati Kitengo kilitoa walinzi kumlinda Reginald Mengi kwa KUWA aliropoti ametishiwa kuuliwa NA Alkarim wa CTN ..ugomvi wa kuinesha mpira ..Hadi mengi akaweka TV ya bure Mnazi Mmmoja ....Augustine Mrema aliridhika NA ripoti ya usalama aliyopewa wa tishio kwa bwana mengi NA akamshauri rais mwinyi aruhusu mengi apewe ulinzi wa state
 
mtu makini aliemptisha mkapa 1995 badala ya jakaya au karume 2000 badala ya bilali. kazoea kufanyia wenzake zengwe safari hii kisu cha mazingaombwe kimemkata anaruka ruka kama bisi kweye kikaango. wamekatwa watu zaidi ya 30 lowassa ni kama wanachama wengine. kaaa kimya babu wa maslahi
 
Unajua haya majitu siku zote tunasema wawe wanaweka sheria na taratibu zitakazotoa haki kwa wote. Wao siku zote wanadhani kuwa wayafanyayo ni kwa ajili ya kuwanyima haki wapinzani, matokeo yake ndiyo haya. Yalimkuta Sumaye, Salim nk, leo yamemuangukia Laigwanan. Bado yataenda kupitisha katiba mbovu yakidhani ni kuwakomoa wapinzani, matokeo yake yanakuwa ya kwanza kujeruhiwa nayo. Shame upon you ------.
 


Tatizo kubwa linaanzia katika mfumo wa upatikanaji/uteuzi wa hawa majaji unafikiri wakiombwa wajipake kinyesi hata kama wanaona unafikiri watakataa!!?.Mfumo mmbovu huo.
 
hee!as of now huyo msafirisaji wa madawa yupo jela au uraiani?
 
Katikati ya Maneno ya huyu Mzee Edo hatoki CCM anachotaka Tingatinga akapige magoti ili kuonyesha nguvu yake na yeye ahakikishiwe maslahi yake hizi ni siasa chafu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…