NapigaNgumi
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 529
- 209
Kuna watu wanasema ccm inakufa mwaka. Lakini hawajui nini kinachoiweka ccm hai, imara na ambacho kinachowaunganisha viongozi wa ccm. Uhai, uimara na umoja wa ccm unasababishwa na UFISADI. Bila ufisadi wa viongozi wa ccm, hakuna uimara tena. Kupiga vita ufisadi ni kuiua ccm.