Kingunge: Mchakato wa kumpata Mgombea Urais CCM ulikuwa batili! Lowassa si fisadi kama inavyodhaniwa

Kingunge: Mchakato wa kumpata Mgombea Urais CCM ulikuwa batili! Lowassa si fisadi kama inavyodhaniwa

Mzee kaongea maneno mazito sana, Nina kila sababu ya kutokuwa mwanachama wa chama chochote lakini nitakuwa na wanachama wa chama chochote ninaokubali kazi zao. Mungu ibariki Tanzania.
 
Mbona Mzee Kingunge ulituteulia mgombea nje ya vikao rasmi vya chama? Tunamshukuru Mungu kwa kutujaalia KINGUNGE kimoja tu. Vingekuwa vingunge vingi nchi ingepata taabu sana.
 
Mzee kaongea maneno mazito sana, Nina kila sababu ya kutokuwa mwanachama wa chama chochote lakini nitakuwa na wanachama wa chama chochote ninaokubali kazi zao. Mungu ibariki Tanzania.
Yana uzito gani maneno yake? Anataka kutuambia mchakato wa kumpata Maghufuli haukuwa halali?
 
Kwa hiyo Mzee anachotuamisha ni kwamba, kamati ya maadili ya CCM, ilitiwa upofu, akili zao zikangandishwa???!ni nani aliyehusika kwa hilo!?kwa hiyo alipishwa hakuwa chaguo sahihi!? Anywhere I was just thinking roudly. But time will tell!
 
Wamfukuze kama yule Mzee Moyo wa Zanzibar.....................!!!

KIngunge na kadi yake No. 8 hajui kuwa hakuna Haki ndani ya CCM!!? Siku zote serikali ya CCM huwa inafanya mabo yake kihivyo, ndani na nje ya chama. Wanapofanyiwa wapinzani ni sawa....... Lowasa siyo sawa!! What the hell!!
 
Kamati ya Maadili isingevunja taratibu na kanuni ili kukiweka chama katika njia yake ya awali, leo hii chama kingekuwa ni vipande vipande.

Maelezo yake yanaonyesha, Lowassa anaomba yaishe ndani ya CCM.

Timu Lowassa wamemtuma ili kutuma ujumbe kwa wenye CCM.

Wengine tulishasema mapema, Lowassa hana ubavu wa kuhama CCM.

Kuhama CCM ni kupoteza hata kile kidogo alichobaki nacho!
 
Kingunge alitaka kuwachagulia watanzania rais?!? Inajulikana toka mwanzo kuwa yeye ni team lowasa, na kuwepo kwake kwenye uzinduzi wa safari ya matumaini kule shekhe amri abeid inamwondolea credibility yote ya yeye kumtetea lowasa kwa sasa
 
Hizi zote ni blah blah tu...wenyewe wanajua fika 'utaratibu' wanaotumia kuwapitisha watu wao pendwa.....tunaishia kuambiwa biashara za nafaka.....
 
Wamfukuze kama yule Mzee Moyo wa Zanzibar.....................!!!

KIngunge na kadi yake No. 8 hajui kuwa hakuna Haki ndani ya CCM!!? Siku zote serikali ya CCM huwa inafanya mabo yake kihivyo, ndani na nje ya chama. Wanapofanyiwa wapinzani ni sawa....... Lowasa siyo sawa!! What the hell!!

kadi ya moyo ni namba 7 so watafutana vizuri tu...
 
Back
Top Bottom