Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Bro usiwanange wasomi kwa matatizo ya watu binafsi. Dunia ya leo elimu muhimu sana. Kama unalidhika kuongozwa na watu jamii ya kingwendu basi nina wasiwasi na kichwa chako.
Usitumie kichwa kuoteshea nywele tu.
hao wasomi na wenye elimu wamefanya nn kwny taifa jili?