Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Wachambuzi wa JF mnafurahisha!Mkuu wacha kutetea mapolisi...! Jamaa yuko kwenye cross fire lakini yanamkosa yanapiga chini, mengine yapo kwenye range kabisa jamaa anatembea wala hajifichi na yanamkosa! Risasi kibao zinapigwa kama hawana mafunzo 🤦🏽♂️🤦🏽♂️🤦🏽♂️🤦🏽♂️
Hoja yako ni nyepesi sana... Unaanza vipi kumringanisha mtu mwenye sare amaye amepitia mafunzo ya silaha na raia wa kawaida???Binafsi najisemea kuwa watanzania weng hatujui matukio na hatuchukui muda wetu kujisomea na kufuatilia mambo. Ndo maana tukio hili linachukuliwa kirahisi sana na linamaelezo meng ya tofauti tofauti na mepesi. Ukisikiliza shuhuda mmoja mmoja utaamini haya niandikayo pia ukifuatilia comment za watu...
Na nashukuru sana video zipo zinaonesha waziWachambuzi wa JF mnafurahisha!
Wewe ndio huna akili.Oya wazee, em tumieni akili hata ndogo tuu. Video za mwanzoni ni ile yupo karibu na daladala na bajaji huku tayari akiwa na silaha akipiga juu sasa kama polisi walinyang'anywa silaha ilikuwaje mpaka yupo pale karibu na daladala hakuna polisi kuja kumshambulia mana alipora silaha...
A racialist like you, can not be a "Father of All". Please find another name to suit your racial explosions! Kilangila.Ngojeni uchunguzi huru ufanyike. Kumbe aliyedhulumiwa ni baba yake? Msomali anapewa migodi Tanzania? Kwanini hakwenda kwenye vyombo vya dola au kuwashughulikia wabaya wa baba yake? Je huyo mlinzi aliyeuawa naye alikuwa na kosa gani? Ugaidi kwa tafsiri ya haraka ni kusababisha terror kwa wengine. Hivyo, alichofanya ni ugaidi na walichokuwa wamefanya polisi kama ni kweli ni dhuluma.
ndio maana tunasema siku zote Polisi wasiwachekee CHADEMA hawa jamaa nia yao ni mbaya kwa Taifa letu, hawa jamaa wanafurahia vitendo vibaya dhidi ya askari wetu na kwa nchi, walifurahia na kushangilia kufuatia kifo cha JPM n.k, hawa jamaa sio wa kuwaamini hata kidogo, hawa jamaa hawafai hata kuongoza serikali ya mtaa.Ni jambo la kheri sana hawa Polisi wanaoitumikia CCM badala ya wananchi kuendelea kuuawa.Mungu bariki sana yule gaidi.
View attachment 1908590
View attachment 1908624
Ahahahahahaha we una lako jambo,ngoja waje utakomakweli usilolijua ni kama usiku wa giza, kuna mama mmoja nimemsikia anasema jamaa ALIKUA ANAONGEA KIISLAMU, sijui ndio lugha gani hiyo!!!? Anyways ya Mungu ni mengi.
Mtego mbaya ni tukisema ni gaidi basi italazimisha tutaje anatokea kundi gani na pale tutakapolitaja tu hilo kundi basi ndio tutakuwa tumelikaribisha rasmi Tz kuja kulipa kisasi cha mwenzao.
Hili linaitaji tu 'play smart' sana sio dogo hata kidogo. Naamini vyombo vyetu vinalifahamu hili.
Gaidi kutoka CCM!🤡🤡🤡ndio maana tunasema siku zote Polisi wasiwachekee CHADEMA hawa jamaa nia yao ni mbaya kwa Taifa letu, hawa jamaa wanafurahia vitendo vibaya dhidi ya askari wetu na kwa nchi, walifurahia na kushangilia kufuatia kifo cha JPM n.k, hawa jamaa sio wa kuwaamini hata kidogo, hawa jamaa hawafai hata kuongoza serikali ya mtaa.
Vyombo vyetu vya ulinzi na usalama badilikeni, hawa watu ni wahuni walio jificha kwenye chama.
Mbowe ana tuhumiwa kwa kuwa rubuni na kuwatumia wanajeshi walio ondolewa ktk Jeshi ktk vitendo vya Kigaidi na dhidi ya Serikali.Gaidi kutoka CCM![emoji1782][emoji1782][emoji1782]
View attachment 1908658View attachment 1908659View attachment 1908660View attachment 1908661View attachment 1908662
View attachment 1908664
Tatizo lako ni mjuaji Sana. Basi angalau ungeangalia kwanza hizo video au sikiliza maelezo ya mashuhudaDaah jamaa em tumia akili basi, kwahy jumla ameua polisi wangapi.? Mana pale walipokuwa wanashambuliana aliua jumla wanne sasa em nambie na hao wengine walionyang'anywa silaha walikuwa wangapi na wameuawa wangapi.?
Walinda usalama wameonesha udhaifu mkubwa; huyu mhusika ametangaza ufalme kwa muda marefu, aidha, hakupaswa kuuawa. Alitakiwa akamatwe ili kupata taarifa muhimu ikiwemo motive ya tukioSi huwa kuna askari muda mwingi hapo kwenye kona ya kuelekea Masaki?
Hata Usalama wa Taifa si mbali sana hapo, kituo cha polisi Selander kipo karibu pia, hapo nyuma nyumba za O'bay kuna wastaafu kadhaa wa JWTZ
Huyo aliezungushiwa alikua amelala auu!! 🧐🧐
Asichokijua sumu kwa muda huu ipo na polisi wanatrack calls zote kabla na baada ya tukio.Mkuu usifanye mchezo, usije wekwa kwenye list...
Tafuta habari aisee badala ya kupoteza muda wako kuuliza maswali ambayo watu wanayapuuzaSiwachoshaje watu wakati bado cjapewa majibu ya maswali yangu.? Ingekuwa mtu amenijibu lkn bado nikaendelea kuuliza hapo ndo ungesema nachosha watu
Sio gaidi ,huyo alikuwa kada wa ccm,ni mfanyabiashara wa madini,polisi walimkamata na madini,kwa tamaa zao wakataka kumdhurumu,akawawahi akawachapa risasi,akachukua hizo A47 mbili akaanza kurusha risasi.Huyu ni gaidi period.
Polisi wajitafakari sana
Msako uanze haraka sana mpakani Namanga na vitongoji vyake
Na sio ugaidi hata kama walisababisha terror kwa Hamza?Hivyo, alichofanya ni ugaidi na walichokuwa wamefanya polisi kama ni kweli ni dhuluma.