Wana mafunzo na ndio sababu hawakumuingia hovyo hovyo, walisoma mazingira na hatua za kuchukua.Naunga hoja inaonekana hatuna level nzuri ya kupambana na matukio hayo angekuwa ametarget raia ingekuwa na madhara makubwa sana.
Nusu saa jamaa anatamba mitaa yenye ofisi nyeti na milio ya risali inasikia bila hatua yoyote kuchukuliwa...
Uchunguzi upitie pia tuhuma za dhahabu.
Mtu keshakufa bado wanammiminia risasi asiamke kumbe wanamali yake.
Hapa Kuna sintofahamu kubwa but nahis wazee wa dasilam ndo waliitaka mdhulumu
Hajui hilo usimlaumu ,lisilo kuwasha ukulilambaBrother karaoke hujawahi soma hadithi inaitwa DUNIA UWANJA WA FUJO
Siwajui policccmUmeshwahi kupigwa marungu na Policccm?
🤣🤣🤣 Amekuweka wewe wakati muhusika washamubaini
Inatakiwa hili swala lijadiliwe Bungeni, na hao Mo_D waitwe kamati ya maadili kesho saa 4.Hili jambo limenikwaza sana.... Na naona hata moderator hawazingatii huu upotoshaji kuendelea.
Kwanza dhahabu ya Hamza waseme iko wapi!Naomba leo iwe mwisho wa trends za Hamza.
Tunaomba walau Rayvanny amfanye tukio kwa Paula ili tuhangaike nao.
Haaaa!!!! Kumbe tena alikuwa na dhahabu.
Ni kweli kabisa, kwani kama kuna kundi kubwa nyuma yake, watajipanga upya, au tayari wamekwishajua udhaifu wa polisi. Pia kama alirushiwa bomu la majozi, wakati mwingine kama wapo wengi watavaa teargas masks.That's not well done for the Police Force.
Walitakiwa wamkamate ili wamfikishe kwa Pilato ili kumjua yeye ni nani na waliomtuma ni kina nani! Ukimwua mhalifu hakuna kesi hapo
Mbona kwenye zipu kuna kama tobo la risasi vipView attachment 1910742
Katika hili saga nimeshindwa kabisa nisimame upande upi, wakati mwingine naumizwa sana na wale Askari vijana waliopoteza maisha
wakati mwingine nimimfikiria Muuwaji roho inaniuma sana, dah kwanini lakini Hamza aliamua iwe hivyo?
Hamza alilogwa?
Alichanganyikiwa?
migodi yako umeamua uiache?
fedha zako zote umeamua uziache?
familia yako na washkaji umeamua uwaache?
kwanini hata hukuomba ushauri kwa watu, mbona sasa sasa umesababisha Loss maradufu?
wakati mwingine huwa kuna hatua Binadamu ukishafikia hali fulani unaamua lolote na liwe ila dah ameniumiza sana Hamza,
Poleni kwa wote mlioguswa
Pumzika kwa Amani Hamza😭😭😭