Kinondoni, Dar: Hamza Mohammed, Polisi Watatu na mlinzi mmoja wauawa katika Majibizano ya Risasi

Hamza kawashambulia na kuwauwa askari na kuchukua silaha zao mbili. Askari hao kwa Hamza walikuwa SOFT TARGET. Hamza kwa weledi mkubwa anatumia silaha vizuri kama askari mwenye mafunzo anayejua atendalo...
huu uzi hauna maana
 
Ooh yes umeongea vyema sana hapo as far as International Relations on Diplomatic Relations and Immunities is concerned.

Serikali ielekeze nguvu kulitatua hili otherwise itakua imevunja mkataba wa Vienna Convention on Diplomatic Relations.

Nafikili Hamza alifanya makusudi tu, alijua kwa kufanya hivyo asingeguswa kwasababu tayali alikuwa nchi na ardhi ingine!
 
Msihamishe magoli,tunataka kujua polisi gani walimdhulumu Hamza na kupelekea polisi wasio na hatia kulipia gharama!
 
Hamza mwanaume Sana , Kazi ya madini ni ngumu Sana , sisi tunaifahamu tunayoifanya unaweza pata kilo ya Dhahabu let say milioni 120 Lakini waweza kuta unadaiwa milioni 90 halafu ajitokeze polisi akunyang'anye hata mim Siwezi kukubali naua polis yoyote anae kuja mbele ,, jamaa alikuwa na migodi mbeya hata mashuuda wanasema alikuwa mtu poa Sana, sema tamaa ya polisi , hata Kama alitoka na Dhahabu mbeya kwa nin asikamatwe badala ya kumnyang'anya
 
najaribu kufikiri tu kama Hamza angekwenda ubalozi wa Marekani pale kibandani, Je Askari wetu wangethubutu kurusha mabomu ya machozi kumtoa? wafaransa mnakwama wapi.
 
Msihamishe magoli,tunataka kujua polisi gani walimdhulumu Hamza na kupelekea polisi wasio na hatia kulipia gharama!
nasikia walikula mzigo wa jamaa, tena mkubwa balaa!!
 
hii tabia ya polisi kudhulumu kibabe, iishe, wawe na weledi kudili na watu. asilimia kubwa ni deal makers hao polisi
 
Ooh yes umeongea vyema sana hapo as far as International Relations on Diplomatic Relations and Immunities is concerned...
Nakumbuka nikiwa nje ya nchi ilikua ikitokea siku umeenda ubalozin yaan unajiona kabisa vile uko tanzania! Unajisikia huru sana na amani! Unakua na furaha mnoo kuniona uko nchini kwako!

Kwahivo naamini kabisa hamza ama kwa kujua ama kutokujua lakin tayar alikua ubaloz wa nchi nyingine na pamoja na askar wetu kuingilia pale ilipaswa ubaloz ule pia umlinde ilikuaje get lilifungwa tu kma hakuna tukio nje?

Inamaana hawakusikia? Hawana camera? Yaan ubalozi pia haukuonekana kabisa na hadi sasa hatujasikia chochote.
 
najaribu kufikiri tu kama Hamza angekwenda ubalozi wa Marekani pale kibandani, Je Askari wetu wangethubutu kurusha mabomu ya machozi kumtoa? wafaransa mnakwama wapi.
Kwa mkataba wa Vienna - Vienna Convention on Diplomatic Relations wa tarehe 18. 04.1961 ulioanza kutumika tarehe 24.04.1964 ambao na sisi tulisaini hilo ni kosa kubwa sana kwasababu; Ndugu wa Hamza wanaweza kushitaki na pia Ubalozi unaweza kushitaki pia na mshitakiwa akawa ni mmoja!!

Hapo inatakiwa hekima itawale sana!
 
PolisiCCM walikutana na mbabe wao.

Hamza mmoja kawatoa kijasho, wakiendelea na uonevu wao iko siku watakutana na akina Hamza 10000
Huwa nawaona mafala wale ambao wakidhulumiwa huwa wanakimbilia kujiua.
Natamani watu wawe kama Hamza, ukidhurumiwa unaondoka na watu kadhaa, ndiyo tutaheshimiana.
 
Comte unarukaruka kama maharage yanayokaribia kuiva,weed umakuwa muungaji mkono wa wale mashujaaa wa kubambikia na kuonea,tupe msimamo wako ni upi hivi sasa.?
 
Comte unarukaruka kama maharage yanayokaribia kuiva,weed umakuwa muungaji mkono wa wale mashujaaa wa kubambikia na kuonea,tupe msimamo wako ni upi hivi sasa.?
Vessel subiri uchunguzi ila akili inanituma huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…