Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamza ni mfano wa kuingwa kwa sisi wenye makabila ya ki-bantu, kupigania haki yako ni sehemu ya ushujaa, tuache uoga, unafiki na kujipendekeza, mtu anakupora mali yako halali una muacha unasema tu basi ya ishe eti wote tutaviacha!!! shezi kabisaView attachment 1910742
Katika hili saga nimeshindwa kabisa nisimame upande upi, wakati mwingine naumizwa sana na wale Askari vijana waliopoteza maisha
Wakati mwingine nimimfikiria Muuwaji roho inaniuma sana, dah kwanini lakini Hamza aliamua iwe hivyo?
Hamza alilogwa?
Alichanganyikiwa?
Migodi yako umeamua uiache?
Fedha zako zote umeamua uziache?
Familia yako na washkaji umeamua uwaache?
Kwanini hata hukuomba ushauri kwa watu, mbona sasa sasa umesababisha Loss maradufu?
Wakati mwingine huwa kuna hatua Binadamu ukishafikia hali fulani unaamua lolote na liwe ila dah ameniumiza sana Hamza.
Poleni kwa wote mlioguswa
Pumzika kwa Amani Hamza[emoji24][emoji24][emoji24]
dahSasa kama mtu anasoma dini halafu anafanya uovu mkubwa wa mauaji kiasi hicho hiyo dini imemsaidia nini yeye na jamii kwa ujumla?
Si ni hasara hiyo sasa?!
Bora kuwa Mpagani basi ijulikane moja!
Work done is equal to zero.Mi nimesikitika sana kijana alikua na umri mdogo sana pamoja bright future mbele, alikua anajichanganya na kila aina ya watu, kwenye siasa alikua anajichanganya sambamba na kujichanganya kusaidia vijana wenzake. Anaonekana alikua hajiweki nyuma kwenye jambo lolote lile la maendeleo na kiraia. Pia anaonekana alikua mtu mcheshi sana (angalia hio picha mwandishi wa uzi alioweka kijana akiwa na hao wamama).
Hili swala la huyu kijana kufanya hayo aliofanya liundiwe tume huru kuchunguza. Nina amini halina uhusiano wowote na ugaidi au chuki binafsi, kuna siri kubwa sana nyuma ya tukio aliofanya.
Maswali ya kujiuliza;
1) Kwanini haku hangaika na kudhuru raia wenzake? Alihangaika na police tu.
2) Kwanini hakuenda kwenye mall supermarket au kwenye mikusanyiko ya raia wengi na kuleta maafa? Na alikwenda moja kwa moja kwenye vibanda vya askari.
3) Kwanini alikua ni mtu wa kupambana kimaisha na kujichanganya na watu wa kada tofauti tofauti uraiani? Na ni ghafla akafanya hilo tukio.
4) Vijana wangapi nchini wamesha dhulumiwa/kutapeliwa/kubambikizwa kesi au makosa/kuombwa rushwa na askari police?
5) Vijana wangapi wamepata ulemavu au wamepoteza maisha mikononi mwa police, iwe mahabusu au mtaani?
6) Raia wangapi wamefilisiwa biashara zao na police?
Relatioship; Kati ya raia/wafanyabiashara/vijana na askari police ni wazi sio nzuri nchini kwetu.
Katika vijana/raia/wafanyabiashara mia moja (100) ukiwauliza wanawachukuliaje askari police au wana historia gani nao. Basi majibu watakayo kupatia utashangaa.
Wale wadau wasuoamini ktk hofu ya mwenye pumzi wanafurahia kuja kutafuna mbususu ya mjane wa Gaidi [emoji16][emoji847]Eti kafa kishujaa ? Kwa vipi labda?
Kaua na yeye kafa ameacha maisha matamu watu wanafurahia Neema ya uhai walopewa na Mwenyezi Mungu.
Watu wanafurahia kula ugali, wali kwa samaki, kuku, nyama, majani n.k
Watu wanafurahia kula mbususu n.k
Kuna siri kubwa sana katika uhai wa mwanadamu kuhusika kuondoa uhai wa mwanadamu mwenzio ni laana kubwa sana !
Utapata mfadhili mwingine huyo Hamza ameshamaliza safari!
Imani zingine zinaleta mashaka sana.Sasa kama mtu anasoma dini halafu anafanya uovu mkubwa wa mauaji kiasi hicho hiyo dini imemsaidia nini yeye na jamii kwa ujumla?
Si ni hasara hiyo sasa?!
Bora kuwa Mpagani basi ijulikane moja!
Imani zingine zinaleta mashaka sana.
Bora kuwa mkristo tena Mlokole kama GwajimaSasa kama mtu anasoma dini halafu anafanya uovu mkubwa wa mauaji kiasi hicho hiyo dini imemsaidia nini yeye na jamii kwa ujumla?
Si ni hasara hiyo sasa?!
Bora kuwa Mpagani basi ijulikane moja!
Mali inatafutwa, inapatikana na inapotea. Hakuna mbadala wa UHAI.Uchukue pesa yangu ndefu uchukue na madini yangu juu kizembezembe tu wakati nimevitolea jasho hata mimi nakutoa roho,Hamza ni shujaa na kaonyesha msimamo kwenye jamii kila mtu anajua polisi wengi hawaridhiki na mishahara yao ni wezi.
Hamza kawashambulia na kuwauwa askari na kuchukua silaha zao mbili. Askari hao kwa Hamza walikuwa SOFT TARGET. Hamza kwa weledi mkubwa anatumia silaha vizuri kama askari mwenye mafunzo anayejua atendalo. Hamza anaenda ama anaelekea ubalozi wa Ufaransa!?. Inashangaza lakini ngoja kidogo- ...