Elections 2010 Kinondoni Need MP like Mpoki Mwambuluku

Elections 2010 Kinondoni Need MP like Mpoki Mwambuluku

The message i got ni kwamba alikuwa wanajaribu kujustify kuwa ana elimu appropriate, yaani pia amesomea mambo ambayo wanajimbo wanahamu nayo, (maendeleo ya uchumi) sioni kama ni haki kuanza kuangalia kama baba yake alimrusha mtoto wake darasa au alimuingiza shule fulani kiujanja. This looks like character assasination, hakuna mtu aliye perfect, inawezekana kwa baadhi ni vibaya kuonesha credentials na kwa wengine wanapenda kuona credentials ili kujua kama vilaza wanataka kutuongoza au watu wenye uwezo wa kutuongoza.


Character assassination is an attempt to tarnish a person's reputation. It may involve exaggeration or manipulation of facts to present an untrue picture of the targeted person. It is a form of defamation and can be a form of ad hominem argument.

 
Thanks mkuu, and this is exactly what is happening, trying to manipulate and twist facts, and demonise the chap

Narejea,

Kuna wengine tumeuliza wasifu wa mgombea tu, pamoja na mambo hususan aliyoyafanya katika medani zake kumfanya awe mgombea aghalabu kwa nafasi hii ukizingatia mustakabali wa taifa letu leo, na kuonyeshwa ni vipi kipya kinyemi hiki kitaweza kubadili mambo, na kuhakikishiwa kwamba hatupewi mvinyo wa zamani katika chupa mpya.

Nasikitika kusema mpaka sasa sijapewa jibu lenye maelezo ya kuridhia utashi wangu barabara.

Ninachoona, katika mengi, ni wadau wanatoa kauli zinazokinzana kama "He is a common Joe, he is a national treasure". I take issue with such blatant peddling.

A national treasure ought to be rare and by definition somebody rare cannot be a common Joe. Gold is a national treasure, gold is rare, sand is commonplace, sand is not a national treasure.

So which is it? A common Joe or a rare treasure ?
 
Narejea,

Kuna wengine tumeuliza wasifu wa mgombea tu, pamoja na mambo hususan aliyoyafanya katika medani zake kumfanya awe mgombea aghalabu kwa nafasi hii ukizingatia mustakabali wa taifa letu leo, na kuonyeshwa ni vipi kipya kinyemi hiki kitaweza kubadili mambo, na kuhakikishiwa kwamba hatupewi mvinyo wa zamani katika chupa mpya.

Nasikitika kusema mpaka sasa sijapewa jibu lenye maelezo ya kuridhia utashi wangu barabara.

Ninachoona, katika mengi, ni wadau wanatoa kauli zinazokinzana kama "He is a common Joe, he is a national treasure". I take issue with such blatant peddling.

A national treasure ought to be rare and by definition somebody rare cannot be a common Joe. Gold is a national treasure, gold is rare, sand is commonplace, sand is not a national treasure.

So which is it? A common Joe or a rare treasure ?

Platinum post bro' --- sidhani kama kuna wa kukujibu ipasavyo!!
 
I don't normally comment here but I heard this guy campaign this past week and was very impressed. I think he really does understand matatizo ya wananchi. Nilivyoelewa mimi from his campaigns in Kinondoni the guy yeye ameishi Tanzania all his life but was only studying abroad ila hata alivyokua akisoma makao yake yalikua tz hivyo yeye he's been in Tz throughout. Unajua change can come from any party and so can dissapointments so you really need to look at the individual candidate and not dismiss someone just cause anatoka ccm au chadema.

Thanks Mkuu... hebu tumegee basi kidogo key focus ya manifesto yake na sie tujifunze!!!
 
I don't normally comment here but I heard this guy campaign this past week and was very impressed. I think he really does understand matatizo ya wananchi. Nilivyoelewa mimi from his campaigns in Kinondoni the guy yeye ameishi Tanzania all his life but was only studying abroad ila hata alivyokua akisoma makao yake yalikua tz hivyo yeye he's been in Tz throughout. Unajua change can come from any party and so can dissapointments so you really need to look at the individual candidate and not dismiss someone just cause anatoka ccm au chadema.

mkuu...mbona unanichanganya?unasema ameishi tanzania all his life....but was only studying abroad...nikuulize je amesoma ONLINE DEGREE??
 
mkuu...mbona unanichanganya?unasema ameishi tanzania all his life....but was only studying abroad...nikuulize je amesoma ONLINE DEGREE??

Unajua unaweza kuishi sehemu miaka miwili but you are not characterised as a resident there na your country of nationality ndio your residency. This is normally the case with people on student visas UK, US etc ndio maana wanapewa conditions kama you can only work twenty something hours etc. So wengi Tanzania ndio inakua regarded as their residence. So I was talking in terms of technicalities za immigration kuwa he has always been resident in Tanzania and only went to study abroad with Tanzania as his residence na wazazi wake hawakua uk au usa aliposoma so sio kama alimaliza kusoma akabaki tu etc kila anapomaliza one course anarudi kama kurusi kusoma tena anaenda kuchukua visa tena ya kusoma etc. That is what I understood during campaigns so I was rather correcting watu wanaosema kuwa kakaa mwaka mmoja tu tz atajuaje matatizo ya tz. Huyu uluya alikua anasoma tu ikifika likizo karudi bongo nyumbani etc so matatizo ya bongo have been his life throughout.
 
Mkuu hii ofcourse haiwasaidii lolote watu wa Kinondoni lakini inaexpose hypocrisy behind this candidate na wapambe wake.



Naam this is wht everyone would think, lakini for a guy anayeamua kutembea na vyeti kwenye kampeni as a proof for his qualifications naamini kuna haja basi ya kufahamu the whole background kuhusu hiyo academic achievements. Well this might sound too personal au some sort of character assasination lakini don't we see tht voters have a right to know kuhusu full academic background ya mgombea aliyesoma sana na anatembea na proof of that?

I think he walks with his academic qualifications cause tz tumekua na wakubwa wengi wanadanganya wamesoma na kuforge certificates so he puts them in the open mzione na anayetaka kufuatilia kama kweli kasoma they can. I hope I am not wrong but nilivyoziona ni
Fist degree, LaSalle University, Philladelphia, USA
MBA, Schiller University, London, UK
MA, UCL, London, UK
MPhil, Sussex University, Birmingham, UK

But yeah anyone can then have checks on these to see kama he really did study au kama ni kama wakubwa wetu wengine zilikuwa forged bongo
 
I think he walks with his academic qualifications cause tz tumekua na wakubwa wengi wanadanganya wamesoma na kuforge certificates so he puts them in the open mzione na anayetaka kufuatilia kama kweli kasoma they can. I hope I am not wrong but nilivyoziona ni
Fist degree, LaSalle University, Philladelphia, USA
MBA, Schiller University, London, UK
MA, UCL, London, UK
MPhil, Sussex University, Birmingham, UK

But yeah anyone can them have checks on these to see kama he really did study au kama ni kama wakubwa wetu wengine zikuwa forged bongo
lakini kwa msomi mzuri si anaweza kujieleza vizuri kwa maneno na inapowezekana kwa vitendo na watu waka muelewa kuliko ya kutembea na vyeti. mfano prof Luhanga au Mwandosya hawahitaji kuonyesha vyeti, bali kujieleza kwa kwa mpangilio na pointi zinazo kizi haja ndio zitakazo justify uweledi wao. sasa rafiki yako/ndugu yetu Mpoki nafikiri ni vizuri atumie hiyo strategy kuliko hii ya kitoto. samahani kwa kutumia lugha/maneno ngumu kidogo kama hilo la kitoto, si nia yangu kumfanya kuwa yupo hivyo, lakini ndio taswira anayo tupa.
 
I think he walks with his academic qualifications cause tz tumekua na wakubwa wengi wanadanganya wamesoma na kuforge certificates so he puts them in the open mzione na anayetaka kufuatilia kama kweli kasoma they can. I hope I am not wrong but nilivyoziona ni
Fist degree, LaSalle University, Philladelphia, USA
MBA, Schiller University, London, UK
MA, UCL, London, UK
MPhil, Sussex University, Birmingham, UK

But yeah anyone can then have checks on these to see kama he really did study au kama ni kama wakubwa wetu wengine zilikuwa forged bongo

Hivi nani anayejali hiyo mi academic qualifications yake? Kwanza haina uhusiano wowote na uongozi....kwa hiyo kwangu mimi tayari kesha bugi step...

I just despise people who flaunt their academic qualifications when running for public office. Let's face it, who gives damn about what degrees you have?
 
I think he walks with his academic qualifications cause tz tumekua na wakubwa wengi wanadanganya wamesoma na kuforge certificates so he puts them in the open mzione na anayetaka kufuatilia kama kweli kasoma they can. I hope I am not wrong but nilivyoziona ni
Fist degree, LaSalle University, Philladelphia, USA
MBA, Schiller University, London, UK
MA, UCL, London, UK
MPhil, Sussex University, Birmingham, UK

But yeah anyone can then have checks on these to see kama he really did study au kama ni kama wakubwa wetu wengine zilikuwa forged bongo


All these qualification at age 36 just shows you have spent more time in the classroom learning and writing theories than in the real world practising the knowledge.

But hey, who is asking?
 
lakini kwa msomi mzuri si anaweza kujieleza vizuri kwa maneno na inapowezekana kwa vitendo na watu waka muelewa kuliko ya kutembea na vyeti. mfano prof Luhanga au Mwandosya hawahitaji kuonyesha vyeti, bali kujieleza kwa kwa mpangilio na pointi zinazo kizi haja ndio zitakazo justify uweledi wao. sasa rafiki yako/ndugu yetu Mpoki nafikiri ni vizuri atumie hiyo strategy kuliko hii ya kitoto. samahani kwa kutumia lugha/maneno ngumu kidogo kama hilo la kitoto, si nia yangu kumfanya kuwa yupo hivyo, lakini ndio taswira anayo tupa.

Mimi nilivyoona anatembea na vyeti tu nikamuona bonge la "Wambwela" .
 
Unajua unaweza kuishi sehemu miaka miwili but you are not characterised as a resident there na your country of nationality ndio your residency. This is normally the case with people on student visas UK, US etc ndio maana wanapewa conditions kama you can only work twenty something hours etc. So wengi Tanzania ndio inakua regarded as their residence. So I was talking in terms of technicalities za immigration kuwa he has always been resident in Tanzania and only went to study abroad with Tanzania as his residence na wazazi wake hawakua uk au usa aliposoma so sio kama alimaliza kusoma akabaki tu etc kila anapomaliza one course anarudi kama kurusi kusoma tena anaenda kuchukua visa tena ya kusoma etc. That is what I understood during campaigns so I was rather correcting watu wanaosema kuwa kakaa mwaka mmoja tu tz atajuaje matatizo ya tz. Huyu uluya alikua anasoma tu ikifika likizo karudi bongo nyumbani etc so matatizo ya bongo have been his life throughout.

Mkuu at least you are not thinking within the box. Kuna mamia ya watu hapa JF wako nje ya Tanzania kimwili lakini kiriho wako Tanzania, and they are working so hard with hope that mafisadi na wezi watakapoondolewa kwenye hatamu za nchi, watarudi nyumbani kutoa mchango wao. Kusoma nje ya Tanzania maana yake unaenda kuchukua kitu kitakachokusaidia na kuisaidia Tanzania (at least katika hali ya kawaida) na uraia wako bado unakuwa Tanzania. Ni sawa na kusema mimi mtu wa Ntwara nikisoma Shycom haina maana kuwa na seize kuwa mtu wa Ntwara, hata kama ningeenga Shycome kwa visa na kupewa residence or whatever mimi bado ni mtu wa Ntwara. Mbona kuna wengi tu wamezaliwa hapa TAnzania na wana passport za Tanzania lakini hawana uzalendo na Tanzania hata kidogo?

Kwa hiyo naona jamaa yuko sahihi kabisa. Kwanza vipi matokeo ya Kinondoni??
 
Nikitambo sana tangu kuandika hapa kwenye JF, the reason behind is the forum became sold out.However, leo nimeamua kuandika kwa nini Kinondoni wamchague Mpoki Mwambulukutu.

Kwanza compare na wagombea wengine nadhani ana CV ambayo imesimama. B.A Economics, MBA then M.Phil in Economical development. He is outsiders, means hana link na any so called mtandao. Ana 360 exposure means ameishi in the west for sometime kabla hajarudi nyumbani.

His views toward Tanzania economic development are based on facts and not fiction like many Tanzania politician. He is humble man and hard worker.

Tanzania need people who understand development, because we're still developing and Mpoki knows development inside out.

Last, he is a common Joe...... He is a national treasure.

Kuwa na vyeti vya nguvu katika fani tofauti ni jambo zuri lakini isichukuliwe kama ni kigezo pekee cha kupewa nafasi ya kuwaongoza watanzania kuelekea maendeleo. Kwa mtazamo wangu finyu nilikuwa nadhani tuangalie UZALENDO kwanza then tuangalie shule. Je huyu Mpoki Mwambulukutu ana uzalendo gani na Tanzania?. Amefanya nini kama mtanzania kwa watanzania na Tanzania?. Tumekuwa na wasomi wengi tu katika nyanja za uongozi hapa Tanzania na bado wameweza kutuibia ama kututia hasara kwa kutumia shule zao. Mfano ni Dr Daud Balali aliyekuwa gavana BOT ambaye aliruhusu kutokea kwa EPA, Dr Idrisa wa Tanesco ambaye ameshiriki katika skendo ya rada na richmond, Dr Ibrahim Msabaha ambaye ameshiriki katika skendo ya richmond. Sasa kutuambia eti anafaa kuwa kiongozi kwa sababu kasoma sana kwa upande wangu sioni mantiki. Marehemu Edward Moringe Sokoine alikuwa na uzalendo wa kweli kwa Watanzania na Tanzania kwanza then shule yake aliyokuwa nayo ambayo haikuwa kubwa sana ilimsaidia, lakini uzalendo kwanza. Benjamini William Mkapa pamoja na kwamba ni msomi mzuri na amepata exposure ya nchi za magharibi (Western) mbona katuibia?, jibu ni kwamba hakuwa na uzalendo.
 
I think he walks with his academic qualifications cause tz tumekua na wakubwa wengi wanadanganya wamesoma na kuforge certificates so he puts them in the open mzione na anayetaka kufuatilia kama kweli kasoma they can. I hope I am not wrong but nilivyoziona ni
Fist degree, LaSalle University, Philladelphia, USA
MBA, Schiller University, London, UK
MA, UCL, London, UK
MPhil, Sussex University, Birmingham, UK

But yeah anyone can then have checks on these to see kama he really did study au kama ni kama wakubwa wetu wengine zilikuwa forged bongo
Sussex University ipo Brighton ambapo ni mbali na Birmingham au ulikuwa unataka kumaanisha alisoma Sussex University halafu Birmingham University.
 
Wanajamii, am glad kwa wote waliotoa mchango. I believe Mpoki didn't win, but i admired him for trying.

I know him personal and i give him tano for the decision which was to touch the water. I also admire others who where very critical to challenge his credentials. In the end "The worst thing one can do is not to try, to be aware of what one wants and not give in to it, to spend years in silent hurt wondering if something could have materialized - and never knowin".(David. V)

We all love Tanzania dearly, we can differ on the strategy on how to empower our fellow citizen. I wish everyone uchaguzi mwema, tafadhali shauri wengine kuhusu wagombea bora na sio bola mgombea.
 
I know him personal and i give him tano for the decision which was to touch the water. I also admire others who where very critical to challenge his credentials.

Mkuu nadhani ulishauriwa toka mwanzo kuchapa mjadala kwa Kiswahili!!!!!!!! Anyways hongera pia kwa kuwa mpiga debe mkomavu!
 
Back
Top Bottom