Pre GE2025 Kinyang'anyiro cha Urais 2025 kwa tiketi ya CCM: Dkt Mwinyi kuwania Urais wa Muungano?

Pre GE2025 Kinyang'anyiro cha Urais 2025 kwa tiketi ya CCM: Dkt Mwinyi kuwania Urais wa Muungano?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mbona tanganyika hatuwezi kumchagua raisi wa zanzibar
JMT ndio ya Watanzania wote, Waliokuwa Watanganyika na Wazanzibari, lakini Zanzibar ni kwa Wazanzibar tuu kwasababu ni semi automous ina utawala wake wa ndani unaojitegemea, hivyo Zanzibar ni ya Watanzania Wazanzibari pekee!.
P
 
Back
Top Bottom