matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
Flyover Mpya 11 miaka mitano zinajrngwa wapi hizo.
Asisahau jangwani
Asisahau jangwani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeme na Maji ni muhimu Mkuu.Huyu Magu yeye kazi yake kujenga tu madaraja reli na miundombinu mingine Tundu lissu ukiwa rais mteue awe waziri Wa ujenzi
Leo wanawake weusi wataendelea kudhalilishwa?chadema Mgombea wao mnene Duh, ni overweight, ...
Binafsi nipo kitaa ila cha kushangaza redio zimewekwa sauti kuuuubwa kumsikiliza JIWE kupitia RADIO duh!
Sijui kama tutatoboa na TAL
Kasema kuwa Zungu ni mweupe ila bahati mbaya ni mwanaume. Angekuwa mwanamke angetolewa ng'ombe wengi sana kule usukumaniLeo wanawake weusi wataendelea kudhalilishwa?
Sehemu zote zenye mataa Dar zitajengwa Flyover zote kuanzia round about ya kariakoo ,mnazi mmoja,Changombe mataa,ilala pale mataa,kamata,magomeni mapipa,mwenge nk hizo zote zitajengwa awamu ijayo.Flyover Mpya 11 miaka mitano zinajrngwa wapi hizo.
Asisahau jangwani
Ni mweupe Sana sijui ile phd alipataje,anatia huruma hana mvuto kabisa
Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Dk John Pombe Magufuli leo anaendelea na kampeni zake katika jimbo la Segerea Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam ambapo atanadi Sera na ilani za Chama hicho kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba, 28, 2020...
Hapa sawa haya ni maendeleo ya vitu yagusayo watuSehemu zote zenye mataa Dar zitajengwa Flyover zote kuanzia round about ya kariakoo ,mnazi mmoja,Changombe mataa,ilala pale mataa,kamata,magomeni mapipa,mwenge nk hizo zote zitajengwa awamu ijayo
Pamoja na barabara za mwendo kasi kwenda gombolamboto,Tegeta , Mbagala,na ya kuelekea stendi kuu mpya kubwa ya mabasi iliyozinduliwa na Raisi wa malawi
hana hata aibuKwenye kipindi chake watu wameokotwa kwenye viroba, kina Ben, Azory na wengine wamepotea. Kina Lissu wamepigwa risasi mchana kweupe bila ya hatua zozote kuchukuliwa:
"Nilisema nikichaguliwa nitahakikisha tunajenga amani ana utulivu nchi. Miaka ya nyuma pale Ubungo benki ilivamiwa na walipiga risasi mchana kweupe, nikasema chini ya utawala wangu halitakuwepo. Je siku yanatokea hayo."
What a mockery!
Ajui hata vipaumbele vya wananchi ni vipiMaisha yalivyo magumu halafu mtu anapanda jukwaani kuongelea Wanawake
CCM sijui ilijikoroga wapi🤣🤣
Hiv labda havipo kwenye ilaniVipi ajira, kuinua sekta binafsi, fao la kujitoa
Kibaraka wake Paula MakondaMsaliti mkubwa hii nchi dhidi ya haki ya kuishi ni John Pombe Magufuli
Magufuli anatakiwa kuongoza wizara ya miundombinu, urais sio size yake ila maccm wenzake wanaogopa kumwambia kuwa viatu vya urais havimtoshiIngekuwa kiongozi ni kejenga tu basi kila mtu angeweza kuwa Rais, Kiongozi ni mtu anaweza kuwatoa watu sehemu moja kwenda sehemu nyingine bora sambamba na maendeleo facilitation ili watu wafike malengo yao, wachini wainuke na wajuu waendelee zaidi sio kauli mimi raisi wa maskini haina mantiki yoyote. Kwa bahati mbaya hatujui vision yetu miaka 5 tulisikia TZ ya viwanda kampeni hii sisikii kitu sijui tumehama huko yaani baada ya miaka zaidi ya 50 tunashukuru kupata stand, shule sijui barabara. Hata wakoloni walijenga sana huko S.Africa, Namibia na Zimbabwe lakini wakaondolewa sababu ya siasa zao....
majambazi si unaona wametulia baada ya askari kuamua kutumia bunduki na risasi? umesikia benki zikivamiwa tena? umesikia kuna magaidi wavamia vituo vya polisi waliokuwa wakiua askari wapo tena? UMESIKIA RUFIJI,MKURANGA NA KIBITI WATU MLIOWAUNGA MKONO WANAENDELEA KUUA WATU TENA?...