Kinyozi, mchomeleaji, bodaboda, mama ntilie,n.k. hulaza wastan elfu 10 kwa siku, mhitimu unaeogopa kuchekwa endelea kukaa nyumbani

well noted, nimeongezea hii
 
The issue is not all about making money

Wewe unawaza tu Ila hauangalii mbele zaidi

Kuna degree holder wengi wamekufa kwa ajali za bodaboda

So think twice

Kama shida ni hela watu wasingesoma kabisa
You can't win the game if you're too afraid to play,

Huna kazi na upo broke, You need to work your way up or stay stuck waiting huku umri unaenda.

Risk ya kupata ajali kwenye vyombo vya moto sio kwa boda boda tu, watu wengi wa aina tofauti hupata ajali kila siku, wengi zaidi kuzidi boda boda, hao boda boda wanaopata ajali kwa kiasi kikubwa huwa ni speed kali na vilevi kama ilivyo kwa watu wengine wanaopata ajali na ni vitu unavyoweza kujitahidi kucontroll, na bado asilimia ya bodaboda wanaopata ajali ni ndogo ukiwaweka kwenye kundi la bodaboda wote.

Jaribu kuangalia positive side zaidi, bodaboda anaweza kupewa mkataba wa mwaka na nusu kila siku anaingiza elf 10 na akimaliza mkataba anapewa chombo kipato kinaongezeka anajichanga anaongeza chombo kingine, hii ni biashara tayari na fursa kwa watu wengine wakiwemo wahitimu kupata ajira.
 
Kama mtu atataka afanye biashara kisa amekosa kazi namhurumia sana... fanya biashara kwa moyo wako sio kwasababu umekwama kwingine. Biashara sio ya kila mtu. Kuwalazimisha vijana wote kuuza vitumbua na kuendesha bodaboda ni kufeli kama taifa. Serikali iweke sheria na sera nzuri ili wafanyabiashara wawe na mazingira mazuri kuweza kubuni miradi itakayotoa ajira kwa vijana. Yale mabilioni yanayotumika kwenye mradi wa BBT yangeelekezwa kukuza mitaji ya wakulima vijana ingeweza kusaidia kuajiri wenzao wengi
 
Kwa msomi mwenye busara uliye mtaani, ni wakati wa kujichanganya, usiangalie makunyanzi. Kuna dada aliyemaliza chuo, aliuza uji kwenye chupa na sasa ametulia ,biashara yake iko poa.
 
Kama wewe ni msomi basi hio degree, masters, n.k ni ya karatasi tu, it’s too bad it didn’t come with real-world insight. You can easily solve 100 - 5 = 95 but you cant understand that 95 applicants will be left without a job when there are only 5 available, hao 95 wanaotoswa ni bora warudi kwenye mishe zao huku wanaendelea kuapply ajira au warudi nyumbani wanashinda kuapply ajira ambazo hazina guarantee ?
 



Mbele na nyuma hakuna kitu Ila kuna wewe.
 
Wewe umesoma lakini hujaelimika, unaweza kujibu 100 -5 = 95 lakini huwezi kufikiria wahitimu 100 waliosomea udaktari wakiitwa kujaza nafasi 5, ni 95 watakosa
Hata wakati wanasoma walilifahamu hilo, hivyo watavuta subira.
Hawawezi kutelekeza ndoto zao ili wakachomelee vyuma.
Wangetaka hayo wangeenda VETA kama wewe ulivyofanya baada ya kufeli kidato cha nne!
 
Huyo si mama ntilie tena
 
Shida wasomi wa bongo ni wakufaulu mitihani tu Hawana maajabu Kama kweli mtu umeelimika si lazima afanye hizo kazi sijui bodaboda
 

Acheni kumdanganya watu.
 

Acha kulazimisha watu waishi maisha yako. Kukosa kazi isipelekee kukata tamaa na kufanya kazi ambazo hujasomea.
 
Hizo ni zile biashara zinazotegemea location.

Kinyozi wa Sinza, wa Dongobesh na wa Mwananyamala Kisiwani hawa ni vinyozi watatu tofauti.

Sawasawa na hizo kazi nyingine ulizosema.

In fact anayejiuza Sinza, atawacheka wenzake kwanini hawajiuzi kwakua ana constant market. Wakati anayejiuza Dongobesh atakua anajuta, na mnunuzi atakua na amani kununua Sinza kuliko Dongobesh au Mwananyamala Kisiwani.

You have to understand
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…