DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
umesema ya kweli ila nchi ngumu hii aisee, namjua dogo amefanya medicine and surgery yupo kitaa tu daah ila vijana fanyeni kila juhudi bora upenye , maisha bila hela utatukanwa mpaka na mbwa wa jirani
well noted, nimeongezea hiiShida sio kufanya hizo kazi ila shida ni kwamba wengi wanaofanya hivyo ulivyovitaja ni wale ambao walituacha shule na usikute tuliwabeza iwe moja kwa moja au sio moja kwa moja pia jamii ilitupatia ufalme na kutuona sisi ndio wamaana na tulio na akilli ila hao wengine walishaonekana malooser tayari.
Sasa jaribu kuvaa viatu vya kijana wa namna hiyo ambae mtaa ulimpa ufalme na akaonekana yeye ni mwenye akili na kuonesha ikiwa na matarajio makubwa sana Kwake then arudi na degree yake akaanze kushinda salon moja na kijana ambae alionekana looser baada ya kufeli.
Tafakari hapo kwa uzuri sana then nadhani utapata picha kwamba hawa vijana sio kwamba hawatamani kufanya kazi za namna hiyo ila shida ni kwamba wanahofia jamii ambayo iliwaamini na kuwa na matarajio makubwa juu yao then Kesho iwakute kwenye kazi zile zile ambazo zinafanywa na wale ambao walionekana hawana akili.
Hiki kitu kinawaumiza sana vijana kwenye akili hadi moyo ila wanakua hawana jinsi.
But ili kuwasaidia hawa vijana ni kuwashauri tu kwamba wakishamaliza vyuo wasirudi kwenye maeneo ambayo wamekulia bali watoke na waende wakatafute maisha kwenye mikoa mingine huko hakuna anaewajua kwahiyo watakua na uwezo wakujichanganya na kufanya kazi za aina yoyote ili watafute mitaji ya kuanzisha vya kwao.
Na hii inaonekana kwenye baadhi ya mikoa ambayo nimepata kukaa kwa mfano...
Ukienda Dodoma utakutana na vijana wengi wa bodaboda ni degree holders wale wengi kiasili sio wa mkoa ule ila wameamua kubakia pale waendeleze gurudumu la maisha pia nimeona hata Iringa maeneo ya mkwawa pale bodaboda wengi ni degree holders so wapo ambao wanatoka kwenye comfort zone zao na kujitafutia kilocal katika maeneo ambayo hawajulikani sana ingawa hata maeneo hayo pia wakishajulikana kwamba wako na degree halafu wanafanya hivyo bado wanawashangaa na kuwafanya vijana hawa wakose kujiamini.
Daslam ndio utakuta vijana wengi wanatoka mikoani kuja kusoma na wakimaliza chuo wanaongoza kujitafuta kilocal na wanaongoza kufanya vizuri na wengi wananyanyuka kiuchumi ila hawa ambao ni wazawa wa Dar huwakuti kwenye hizo shughuli kwa maana bado mentality yao iko kwenye watanionaje washkaji niliomaliza nao na kadhalika.
sema yulke dogo nilimchangia na wengine ili atusue kisha na masomo yote hayo bado amejipata kijiweni , so many educated individuals are wasting away hapa nchiniUkiishi kwa kutazama watu utajiumiza tu.
You can't win the game if you're too afraid to play,The issue is not all about making money
Wewe unawaza tu Ila hauangalii mbele zaidi
Kuna degree holder wengi wamekufa kwa ajali za bodaboda
So think twice
Kama shida ni hela watu wasingesoma kabisa
Kama wewe ni msomi basi hio degree, masters, n.k ni ya karatasi tu, it’s too bad it didn’t come with real-world insight. You can easily solve 100 - 5 = 95 but you cant understand that 95 applicants will be left without a job when there are only 5 available, hao 95 wanaotoswa ni bora warudi kwenye mishe zao huku wanaendelea kuapply ajira au warudi nyumbani wanashinda kuapply ajira ambazo hazina guarantee ?You need to tell degree holder /graduates to be job oriented and not money oriented.
Unapozungumzia 10k kwa siku
Nikwambie kuna watu wanalaza zaidi ya 10k uliyoandika hapo juu kupitia boda boda.
Watu sio kwamba wanadharau kuendesha boda au kuwa mama ntilie
Itapendeza ikiwa kila MTU atafanya kitu anachopenda na anachokimudu vzr.
Don't be fooled with politics being a bodaboda rider is not a job
Hayana formula lakini kuna kuchaguaMaisha hayana formula.
Kama wewe ni msomi basi hio degree, masters, n.k ni ya karatasi tu, it’s too bad it didn’t come with real-world insight. You can easily solve 100 - 5 = 95 but you cant understand that 95 applicants will be left without a job when there are only 5 available, hao 95 wanaotoswa ni bora warudi kwenye mishe zao huku wanaendelea kuapply ajira au warudi nyumbani wanashinda kuapply ajira ambazo hazina guarantee ?
Hata wakati wanasoma walilifahamu hilo, hivyo watavuta subira.Wewe umesoma lakini hujaelimika, unaweza kujibu 100 -5 = 95 lakini huwezi kufikiria wahitimu 100 waliosomea udaktari wakiitwa kujaza nafasi 5, ni 95 watakosa
Huyo si mama ntilie tenakuna mama ntilie wanafanya mauzo ya milioni 3 kila siku.
ukitoa jumapili ambapo wanapumzika, kwa mwezi wanafanya mauzo ya zaidi ya milioni 60.
tembelea kariakoo utazame tu mauzo ya mama ntilie mtaa wa manyema na mitaa mingineyo
mama ntilie wanakuja kazini na gari kabisa.
Huyo si mama ntilie tena
Ndo maana nasema huyo mwenye hadi 3M per day si mama ntilie sasa ni kfanya biashara tu kama wafanya biashara wengine mama ntilie maana yake hata mtaji ni kuungaunganenda kariakoo ukajionee mama ntilie wa kibabe
kuna mama ntilie wanafanya mauzo ya milioni 3 kila siku.
ukitoa jumapili ambapo wanapumzika, kwa mwezi wanafanya mauzo ya zaidi ya milioni 60.
tembelea kariakoo utazame tu mauzo ya mama ntilie mtaa wa manyema na mitaa mingineyo
mama ntilie wanakuja kazini na gari kabisa.
Kama wewe ni msomi basi hio degree, masters, n.k ni ya karatasi tu, it’s too bad it didn’t come with real-world insight. You can easily solve 100 - 5 = 95 but you cant understand that 95 applicants will be left without a job when there are only 5 available, hao 95 wanaotoswa ni bora warudi kwenye mishe zao huku wanaendelea kuapply ajira au warudi nyumbani wanashinda kuapply ajira ambazo hazina guarantee ?