DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
umesema ya kweli ila nchi ngumu hii aisee, namjua dogo amefanya medicine and surgery yupo kitaa tu daah ila vijana fanyeni kila juhudi bora upenye , maisha bila hela utatukanwa mpaka na mbwa wa jirani
Ukiishi kwa kutazama watu utajiumiza tu.