Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,773
- 51,429
Chai borašYa ndizi au majani ya chai.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chai borašYa ndizi au majani ya chai.
Nimeteseka na naendelea kuteseka mkuu maana nina dozi ya dawa toka jana naogopa kunywa pepsiPepsi bariiiiidi
Tena iwe imeanza kuganda(hapa najua nitatesa wengi mnoo [emoji23] )
Unazidi utamu ule?Pepsi baridi.
Dare for more,ukitaka ku-enjoy hii kitu,usinywe haraka haraka.Kunywa taratiiibu aiseee siwezi eleza utamu wake
Ukishakunywa dawa baada ya nusu saa tu unajinywea zako saaafiNimeteseka na naendelea kuteseka mkuu maana nina dozi ya dawa toka jana naogopa kunywa pepsi
habari mkuuUnazidi utamu ule?
Ni njema kabisa šhabari mkuu
freshNi njema kabisa š
Pamoja..fresh
busy throughout the weekPamoja..
Lini upo off?
Poa piga kazibusy throughout the week
PoaPoa piga kazi
Hapo kwenye ulanzi kuna vipengeleMaji
Takeaway ya Mirinda
Ulanzi & Mbege
Mkuu nimekulia kwenye Mbege ulanzi hata sijui vipengele....Kuna mama huwa nawekaga order kwake jumapili asubuhi ananiletea nkitoka ibada nakunywa aiseee nakua na Dunia yangu flan.....sijui nlichelewa wapi kujua hii kituHapo kwenye ulanzi kuna vipengele
Mtogwa
Mkangafu
Mdindifu
Wewe u wapi?
[emoji23][emoji23][emoji23] hapo safiii.Chai bora[emoji126]