Baba Kisarii
JF-Expert Member
- May 7, 2024
- 1,844
- 3,089
Unaipendea nini hii beer ya wagumu?Beer hasa Safari lager
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaipendea nini hii beer ya wagumu?Beer hasa Safari lager
Unakula Safari Lager?Maji
Mtindi
Juice hasa Apple
Wine hasa Altar
Beer hasa Safari lager
Soda hasa Spar letta
Whiskey hasa Jack Daniels
Spirit hasa K Vant
Hiyo ndio my favorite mkuu ila hata bia nyingine nakunywa pia isipokuwa zile lite, na hata imported huwa nakunywa pia, guinness na aina nyingine kama hiyo huwa zinanishinda ladha tu aseeUnakula Safari Lager?
Kumbe unavimbiwa mahindi, Pata bia zenye Shahiri kama Guinness, na bia kutoka nje kama Heineken, Windhoek nk.
Kumbe unapenda sana kunywa KOMONI!Hiyo ndio my favorite mkuu ila hata bia nyingine nakunywa pia isipokuwa zile lite, na hata imported huwa nakunywa pia, guinness na aina nyingine kama hiyo huwa zinanishinda ladha tu asee
Ndio msimu wake huu,, kwenu Songea saizi watu mda wote wamelewa maana 500 tu unakunywa huamkiMaji
Ulanzi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo niko hapa msamala nakunywa ulanzi.Ndio msimu wake huu,, kwenu Songea saizi watu mda wote wamelewa maana 500 tu unakunywa huamki
Njombe mida hii unakuta kijiji kizima kimelewa kwa ulanzi+mataputapu wamebaki watoto tu kusachi vijichenchi kwenye makoti ya baba zao.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo niko hapa msamala nakunywa ulanzi.
Kunywa asee ulanzi ni kama tunda linakua kwa msimu tu huu nd muda wake 😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo niko hapa msamala nakunywa ulanzi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatariii tupuu, ulanzi mtamu bhana.Njombe mida hii unakuta kijiji kizima kimelewa kwa ulanzi+mataputapu wamebaki watoto tu kusachi vijichenchi kwenye makoti ya baba zao.
Vinywaji vingine hovyo kabisa[emoji38]
Nimetoka kugema sio mda, naandaa wa kunywa ili nilalee.Kunywa asee ulanzi ni kama tunda linakua kwa msimu tu huu nd muda wake [emoji23][emoji23]
😂😂😂 Mlevi weweNimetoka kugema sio mda, naandaa wa kunywa ili nilalee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]