Kinywaji gani ukipendacho zaidi

Hapo kwenye ulanzi kuna vipengele
Mtogwa
Mkangafu
Mdindifu
Wewe u wapi?
Mkuu nimekulia kwenye Mbege ulanzi hata sijui vipengele....Kuna mama huwa nawekaga order kwake jumapili asubuhi ananiletea nkitoka ibada nakunywa aiseee nakua na Dunia yangu flan.....sijui nlichelewa wapi kujua hii kitu
 
Kinywaji kinachotoka kati kati ya mapaja ya mwanamke mnakiitaje vile?????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…