Kinywaji gani ukipendacho zaidi

Maji
Mtindi
Juice hasa Apple
Wine hasa Altar
Beer hasa Safari lager
Soda hasa Spar letta
Whiskey hasa Jack Daniels
Spirit hasa K Vant
Unakula Safari Lager?

Kumbe unavimbiwa mahindi, Pata bia zenye Shahiri kama Guinness, na bia kutoka nje kama Heineken, Windhoek nk.
 
Unakula Safari Lager?

Kumbe unavimbiwa mahindi, Pata bia zenye Shahiri kama Guinness, na bia kutoka nje kama Heineken, Windhoek nk.
Hiyo ndio my favorite mkuu ila hata bia nyingine nakunywa pia isipokuwa zile lite, na hata imported huwa nakunywa pia, guinness na aina nyingine kama hiyo huwa zinanishinda ladha tu asee
 
Hiyo ndio my favorite mkuu ila hata bia nyingine nakunywa pia isipokuwa zile lite, na hata imported huwa nakunywa pia, guinness na aina nyingine kama hiyo huwa zinanishinda ladha tu asee
Kumbe unapenda sana kunywa KOMONI!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo niko hapa msamala nakunywa ulanzi.
Njombe mida hii unakuta kijiji kizima kimelewa kwa ulanzi+mataputapu wamebaki watoto tu kusachi vijichenchi kwenye makoti ya baba zao.

Vinywaji vingine hovyo kabisa[emoji38]
 
Njombe mida hii unakuta kijiji kizima kimelewa kwa ulanzi+mataputapu wamebaki watoto tu kusachi vijichenchi kwenye makoti ya baba zao.

Vinywaji vingine hovyo kabisa[emoji38]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatariii tupuu, ulanzi mtamu bhana.
 
Kunywa asee ulanzi ni kama tunda linakua kwa msimu tu huu nd muda wake [emoji23][emoji23]
Nimetoka kugema sio mda, naandaa wa kunywa ili nilalee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…