Kuna Kiongozi bora alitwambia ipo siku mtanikumbuka. Hakika alikuwa na maono. Majenereta yamegeuka dili, water bowser tulizisahau lkn leo ndio habari ya mjini, Mapedeshee matapeli wa mjini wametoka Segerea wanaendeleza libeneke, Wauza unga wameachiwa, Mawaziri wapiga dili akina Mwigulu, Nappe na Makamba wamerudi mjini kuendeleza uhuni Wizarani yaaaaani Nchi haina kiranja