Kiongozi analazimika kufuatana na Mwenza wake kwenye safari za kikazi na shughuli za Kitaifa nje na ndani ya nchi?

Kiongozi analazimika kufuatana na Mwenza wake kwenye safari za kikazi na shughuli za Kitaifa nje na ndani ya nchi?

Leak

JF-Expert Member
Joined
Feb 22, 2012
Posts
52,916
Reaction score
43,505
Hili swali nimekuwa nikijiuliza ikiwa ni lazima au ni busara kiongozi kufuatana au kuambatana na mwenza wake akiwa kwenye shughuli muhimu za kitaifa ndani na nje ya nchi, hili ni jambo la busara au la lazima?

Yani Viongozi wenzio uko duniani wanakuona kila leo kama uko single wanashindwa kujua au kuuliza yuko wapi mkeo au mumeo! Wakati wa kutambulishana unajikuta unatambulusha huyu ni body guard huyu ni mlinzi wangu huyu ni msaidizi wangu wa hotuba au huyu ni waziri wangu, wanasubiri kusikia huyu ni mke wangu au huyu ni mume wangu lakini olaaaaahhhh

Hili ni jambo liko sawa? Kiongozi mkubwa kutotambua uwepo wa mwenza wake hata kwa kuambatana nae ni sawa? Au ni sawa kiongozi mkubwa hata akiwa single ni sawa tuu hakuna shida yeyote?

Au viongozi wakubwa huwa hawatengewi posho na matunzo kwaajili ya wenza wao hivyo ni gharama kiongozi kuambatana na wenza wao?

Ikiwa kiongozi anapata dharura ambayo mume au mke anatakiwa ndio atatue wa kwanza au kujua wa kwanza inakuwaje hapo?
 
IMG_0687.jpg

Markel na Mme wake
Putin na mke wake
 
Hili swali nimekuwa nikijiuliza ikiwa ni lazima au ni busara kiongozi kufuatana au kuambatana na mwenza wake akiwa kwenye shughuli muhimu za kitaifa ndani na nje ya nchi, hili ni jambo la busara au la lazima...

Ulikuwa unataka kujaribu kusema nini mkuu kwamba Tanzania tumejisahau ?!
 
Ulikuwa unataka kujaribu kusema nini mkuu kwamba Tanzania tumejisahau ?!

Kiongozi ana lazimika kufatana na mke wake au mme wake kwenye shughuli za ndani au nje ya nchi? Au kiongozi anatakiwa ku act kama yuko single? Hakuna shida?
 
Mleta mada umeongea jambo la msingi sana.

Hivi kwenye fomu ya kugombea nafasi zile za juu kitaifa kuna kipengele cha kujaza taarifa za ndoa? Na kama kipo vipi umuhimu wake?

Ipo siku tutakuja kuongozwa na wahuni na tulazimike kufuata uhuni wao[emoji23]
 
Kwaiyo Bi chui amezingua kutokwenda na Gentleman wa taifa ziara...
 
Mleta mada umeongea jambo la msingi sana.

Hivi kwenye fomu ya kugombea nafasi zile za juu kitaifa kuna kipengele cha kujaza taarifa za ndoa? Na kama kipo vipi umuhimu wake?

Ipo siku tutakuja kuongozwa na wahuni na tulazimike kufuata uhuni wao[emoji23]
Nimemmiss msela wangu Mr Hafidhi kitambo sana sijamtia machoni tangu msiba wa Mzee Baba,all most a year now!!
 
Back
Top Bottom