Kiongozi anayechaguliwa kwa hila ni Dikteta, Mbowe asome alama za nyakati apishe mwenyekiti Mpya!

CCM waachieni wana Chadema msishinikize kuna nini kuhusu Mbowe kuongoza Chaedma, mbona CUF, Rungwe nk hamsemi,wananchi tunaanza kuwashtukia!
 
Katiba ya chama inawashinda ndo mpate ya nchi
Foolish
Haondoki mtu hapa. Unataka cecil Mwambe? Haondoki mtu hapa! Mpaka tupate katiba mpya! ambayo Rais hatakuwa Mungu Mtu kama Samia alivyo!
Unataka chadema iuzwe kwa CCM , haondoki mtu hapa!
 
Kwa hiyo mnataka Cdm iwe Kama Cuf Tlp na Cha Rungwe
Nyie ndo wapumbavu mnataka kuua chama kwa uchawa wenu kwa Mbowe
CCM waachieni wana Chadema msishinikize kuna nini kuhusu Mbowe kuongoza Chaedma, mbona CUF, Rungwe nk hamsemi,wananchi tunaanza kuwashtukia!
 
Kwa hiyo Cdm mwenye Akili ni Mbowe kwanini mnakuwa chawa wa mkt
Mnatofauti gani na ccm
Lengo la threads hizi za CCM ni kuona Mbowe anatoka Chadema. Hakuna chawa wa Mbowe, tunatoa tahadhali wasisikilize kelele za CCM mana wamewanunua wooooooooooote wakamshindwa yeye, sasa wawe makini na kelele za CCM
 
Lengo la threads hizi za CCM ni kuona Mbowe anatoka Chadema. Hakuna chawa wa Mbowe, tunatoa tahadhali wasisikilize kelele za CCM mana wamewanunua wooooooooooote wakamshindwa yeye, sasa wawe makini na kelele za CCM
Mbowe wa maridhiano hajanunuliwa?
 
πŸ˜‚πŸ˜‚ na afanye kweli kama sivyo hawatoboi watabaki kusema CHADEMA ni mpango wa Mungu mwenye nacho huongezewa shauri zenu
 
Meku, unataka mageuzi kama yale ya Joseph Seladini na Porapesa wa hayati CUF ili Chadema iungane kaburini na CUF na NCCR wakisindikizwa na Mamose Cheyo na Hamad Rashid?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…