Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haondoki mtu kwanza tumeshakubaliana kuwa uchaguzi wa mwenyekiti na makamu mpaka 2025 baada ya uchaguziChadema ilishauzwa kwa Aziz 2015
Tunataka kuikomboa
Utakavyo, haondoki mtu hapa, chhawa kwa hili mtafeliKabisa. Na inabidi ahakikishe katiba mpya haipatikani ili atawale kama mwenyekiti maisha yake yote.
Threads zote hizo ni za CCM machawa wake hazimtishi mtu menye akili kama MboweNi hilo tu
Mbowe ulishatangaza 2023 unastaafu na Mungu wa mbinguni alisikia pia Dunia ilisikika.
Mungu anasema Ukiahidi Timiza.
Mungu wa mbinguni mfanyie Wepesi Freeman Mbowe wa Chadema 😀
Pia soma
Kwa Hali tunayoipitia Sasa hivi hata Chadema ikiwa na M/kiti mpya Watanzania hawawezi Kuwa na unafuu wa maisha.Mbowe ndio anasababisha maisha yawe magumu? wacha ujinga
CCM waachieni wana Chadema msishinikize kuna nini kuhusu Mbowe kuongoza Chaedma, mbona CUF, Rungwe nk hamsemi,wananchi tunaanza kuwashtukia!Ni hilo tu
Mbowe ulishatangaza 2023 unastaafu na Mungu wa mbinguni alisikia pia Dunia ilisikika.
Mungu anasema Ukiahidi Timiza.
Mungu wa mbinguni mfanyie Wepesi Freeman Mbowe wa Chadema 😀
Pia soma
Twasikia CCM imetengeneza fomu moja ya mgombea urais. Rejea ya Magufuli.Ni hilo tu
Mbowe ulishatangaza 2023 unastaafu na Mungu wa mbinguni alisikia pia Dunia ilisikika.
Mungu anasema Ukiahidi Timiza.
Mungu wa mbinguni mfanyie Wepesi Freeman Mbowe wa Chadema 😀
Pia soma
Haondoki mtu hapa. Unataka cecil Mwambe? Haondoki mtu hapa! Mpaka tupate katiba mpya! ambayo Rais hatakuwa Mungu Mtu kama Samia alivyo!
Unataka chadema iuzwe kwa CCM , haondoki mtu hapa!
CCM waachieni wana Chadema msishinikize kuna nini kuhusu Mbowe kuongoza Chaedma, mbona CUF, Rungwe nk hamsemi,wananchi tunaanza kuwashtukia!
Kwa hiyo Cdm mwenye Akili ni Mbowe kwanini mnakuwa chawa wa mktThreads zote hizo ni za CCM machawa wake hazimtishi mtu menye akili kama Mbowe
Lengo la threads hizi za CCM ni kuona Mbowe anatoka Chadema. Hakuna chawa wa Mbowe, tunatoa tahadhali wasisikilize kelele za CCM mana wamewanunua wooooooooooote wakamshindwa yeye, sasa wawe makini na kelele za CCMKwa hiyo Cdm mwenye Akili ni Mbowe kwanini mnakuwa chawa wa mkt
Mnatofauti gani na ccm
Mbowe wa maridhiano hajanunuliwa?Lengo la threads hizi za CCM ni kuona Mbowe anatoka Chadema. Hakuna chawa wa Mbowe, tunatoa tahadhali wasisikilize kelele za CCM mana wamewanunua wooooooooooote wakamshindwa yeye, sasa wawe makini na kelele za CCM
as long as chadema iko imara, it is an indication kuwa hajanunuliwa.Mbowe wa maridhiano hajanunuliwa?
😂😂 na afanye kweli kama sivyo hawatoboi watabaki kusema CHADEMA ni mpango wa Mungu mwenye nacho huongezewa shauri zenuNi hilo tu
Mbowe ulishatangaza 2023 unastaafu na Mungu wa mbinguni alisikia pia Dunia ilisikika.
Mungu anasema Ukiahidi Timiza.
Mungu wa mbinguni mfanyie Wepesi Freeman Mbowe wa Chadema 😀
Pia soma
😂 but in the bininging they started from CCM and decided to be ant CCM as the results. Hapo hadi azaliwe mtu ambaye ni chadema wa kweli wengine wote waongoMbowe wa maridhiano hajanunuliwa?
😂🔥🔥CCM haiwezi kukubali Mbowe atoke pale...
Mziki wa vijana watakaobaki CHADEMA si mchezo
Lissu anasema alipelekewa pesa home akaikataa...imagine angekuwa mr. Chairman...
Meku, unataka mageuzi kama yale ya Joseph Seladini na Porapesa wa hayati CUF ili Chadema iungane kaburini na CUF na NCCR wakisindikizwa na Mamose Cheyo na Hamad Rashid?Ni hilo tu
Mbowe ulishatangaza 2023 unastaafu na Mungu wa mbinguni alisikia pia Dunia ilisikika.
Mungu anasema Ukiahidi Timiza.
Mungu wa mbinguni mfanyie Wepesi Freeman Mbowe wa Chadema 😀
Pia soma
Mwamba Tuvushe mna mambo!! Kwamba mnaita wenzenu chawa😀Utakavyo, haondoki mtu hapa, chhawa kwa hili mtafeli