Kiongozi anayependelea anakotoka, hakosi pia sifa ya kuwa mwizi na fisisadi kwa lengo la kujilimbikizia mali

Kiongozi anayependelea anakotoka, hakosi pia sifa ya kuwa mwizi na fisisadi kwa lengo la kujilimbikizia mali

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Ni hivi: Ukiona kiongozi anapendelea eneo(kijiji,n.k) anakotoka au alkkozaliwa, n.k, automatically (100% ) atapendelea pia familia yake kwa kujilimbikizia mali na fedha(sifa hizi mbili always zinakwenda pamoja).

Kwa maneno mengine, kiongozi anaependelea eneo alikotoka au alikozaliwa, hatoishia kupendelea eneo alikozaliwa tu, bali ataona haitoshi na atapendelea pia familia yake kwa kujilimbikizia mali na fedha.

On other hand, ukiona kiongozi hana kabisa upendeleo wa eneo alikotoka au alikozaliwa, basi kuna uwezekano mkubwa(zaidi ya 90%) kiongozi huyo asiwe pia na hulika ya ubinafsi ya kutumia madaraka yake kujilimbikizia mali na fedha kwa ajili yake na familia yake.

Conclusion:

The simple and esiest way to discover that you leader is self-centred(egoic), corrupt and is also enriching himself or herself, you simply need to compare the level of development at his or her home village with that of neighbouring villages or districts.
 
 
Ni hivi: Ukiona kiongozi anapendelea eneo(kijiji,n.k) anakotoka au alkkozaliwa, automatically (100% ) atapendelea pia familia yake kwa kujilimbikizia mali na fedha.

Kwa maneno mengine, kiongozi anapendelea eneo alikotoka au alikozaliwa, hatoishia kupendelea eneo alikozaliwa tu, bali ataona haitoshi na atapendelea pia familia yake kwa kujilimbikizia mali na fedha.

On other hand, ukiona kiongozi hana kabisa upendeleo wa eneo alikotoka au alikozaliwa, basi kuna uwezekano mkubwa(zaidi ya 90%) kiongozi huyo asiwe pia na hulika ya ubinafsi ya kutumia madaraka yake kujilimbikizia mali na fedha kwa ajili yake na familia yake.

Conclusion:

The simple and esiest way to discover that you leader is self-centred, corrupt and is enriching himself or herself, you simply need to compare the level of development at his or her home village with that of neighbouring villages or districts.

 
JK naye wala hakupendelea kwao kivilee...naye hakuwa fisadi...
 
Marehemu BWM hakupendelea kwao Masasi wala Ntwara... alienda zake kuishi Ushoto milimani kule... Huyu hakuwa fisadi bila shaka
Hata kwa kupendelea eneo alilochagua kuishi baada ya kustaafu au alikoweza, bado ni kiashiria cha kujilimbikizia mali na fedha kwani ni roho ile ile ya ubinafsi inayomuongoza.
 
Hata kwa kupendelea eneo alilochagua kuishi baada ya kustaafu au alikoweza, bado ni kiashiria cha kujilimbikizia mali na fedha kwani ni roho ile ile ya ubinafsi inayomuongoza.

Hata huko alikoamua kuishi yeye alijenga tu nyumba yake nzuri ya kuishi na shamba lake zuri kama wengi tufanyavyo......
 
Hata kwa kupendelea eneo alilochagua kuishi baada ya kustaafu au alikoweza, bado ni kiashiria cha kujilimbikizia mali na fedha kwani ni roho ile ile ya ubinafsi inayomuongoza.
Unafahamu watu wa kaskazini (Chadema) mnajulikana kwa kupendelea kwenu na watu wenu. Nyie ni waanzilishi na Magu anafuata nyuma yenu naona pia watu wa pwani wanaanza hii michezo.
 
Hata huko alikoamua kuishi yeye alijenga tu nyumba yake nzuri ya kuishi na shamba lake zuri kama wengi tufanyavyo......
Kwanza huyo BM anajulikana kwa kujimbkizia mali hivyo hapa hachomoki.

Tukija kwenye mada,tunaangalia asilimia kubwa ya watu wenye hizo sifa na ndio maana nimeweka percentage(asilimia). Exception zinaweza kuwepo lakini haziondoi huu ukweli.
 
Ni hivi: Ukiona kiongozi anapendelea eneo(kijiji,n.k) anakotoka au alkkozaliwa, n.k, automatically (100% ) atapendelea pia familia yake kwa kujilimbikizia mali na fedha(sifa hizi mbili always zinakwenda pamoja).

Kwa maneno mengine, kiongozi anapendelea eneo alikotoka au alikozaliwa, hatoishia kupendelea eneo alikozaliwa tu, bali ataona haitoshi na atapendelea pia familia yake kwa kujilimbikizia mali na fedha.

On other hand, ukiona kiongozi hana kabisa upendeleo wa eneo alikotoka au alikozaliwa, basi kuna uwezekano mkubwa(zaidi ya 90%) kiongozi huyo asiwe pia na hulika ya ubinafsi ya kutumia madaraka yake kujilimbikizia mali na fedha kwa ajili yake na familia yake.

Conclusion:

The simple and esiest way to discover that you leader is self-centred, corrupt and is enriching himself or herself, you simply need to compare the level of development at his or her home village with that of neighbouring villages or districts.
Kwa hiyo kwa sababu asilimia kubwa ya viongozi wa chadema ni wachaga ni dhahiri mbowe ni fisadi siyo? Shame on you. Umegawiwa kiasi gani kuwachafua watu?
 
Inasemekana iwapo atakuja kuendelea kule kutakuwa kama Dubai [emoji108]

Nasikia wamejipanga na bwana yule aliyekokule kumuwezesha kutimiza hayo [emoji108]
 
Back
Top Bottom