Mbona hata watu wa kule wanasema mtaani kabisa kuwa kwa kazi Nzuri inayofanyika kule kwa sasa kwa kushirikiana na yule aliyekokule ambaye anawezeshwa toka ardhikubwa baada ya miaka 2-3 kutakuwa kama Dubai [emoji108]
Plato aliwahi kufundisha: "no man commits evil deliberately, man commits evil due to ignorance". labda hao viongozi wanafanya hivyo due to ignorance, au hii haihusian na mada
The simple and esiest way to discover that you leader is self-centred, corrupt and is enriching himself or herself, you simply need to compare the level of development at his or her home village with that of neighbouring villages or districts.
Development inatokana na developmental spirit, yaani moyo wa maendeleo, charity begins at home. Ukiwa na moyo wa kimasikini na mawazo ya kimasikini ukaacha kujipenda na kujiletea maendeleo kwanza wewe mwenyewe, huwezi kuendeleza wengine na huwezi kuleta maendeleo ya nchi.
JPM hakuwa na moyo wa kimasikini na mawazo ya kimasikini, ndio maana aliamini Tanzania sio masikini ni tajiri, aliipenda nchi, lakini kwanza alijipenda na alipenda kwao, ndio maana ameleta maendeleo makubwa katika nchi yetu ndani ya kipindi kifupi, just imagine, ile midege, ile flyover, ile Ubungo interchange, mabarabara, miondombinu, kuhamia Dodoma, SGR, Stigler, nchi ya uchumi wa kati, yote hayo ni ndani ya miaka 5 tuu!, tena hapo ndio na Corona juu!. Just imagine, angamaliza yote 10, na tukamuongezea 10 mingine!, tungekuwa wapi?.
Wanabodi, Tangu kupatikana kwa taarifa ya kutelekezwa kujengwa kwa uwanja wa ndege wa Bukoba, eneo la Omukajunguti na badala yake sasa uwanja huo unajengwa Chato, kumetokea pingamizi kadhaa kupinga kujengwa kwa uwanja huo Chato kwa kutumia costs benefits index, hivyo mimi naunga mkono ujenzi...
Wanabodi, Salaam, Neno "Mjinga" ni tukano, ila sio tusi!. Mtu kuwa mjinga ni ile hali ya kutokujua. Hivyo mtu akikuita mjinga, anamaanisha wewe hujui kitu fulani anachokuitia mjinga. Ukiwa hujui kitu fulani na ukaitwa mjinga, hujatukanwa bali umeambiwa ukweli kuhusu hali ya kutokujua kwako...
Wanabodi, Leo kuna video clip ya Ikulu yetu ya Magogoni imepandisha humu, kiukweli nimekuwa very impressed na ile zoo ya Ikulu na jinsi wanyama walivyopendezea. Kwenye mazuri wajameni tupongeze: Wanyama pori waipamba Ikulu, Hongera sana Rais Magufuli Nimesema kwa upande wa wanyama pori, rais...
Development inatokana na developmental spirit, yaani moyo wa maendeleo, charity begins at home. Ukiwa na moyo wa kimasikini na mawazo ya kimasikini ukaacha kujipenda na kujiletea maendeleo kwanza wewe mwenyewe, huwezi kuendeleza wengine na huwezi kuleta maendeleo ya nchi.
JPM hakuwa na moyo wa kimasikini na mawazo ya kimasikini, ndio maana aliamini Tanzania sio masikini ni tajiri, aliipenda nchi, lakini kwanza alijipenda na alipenda kwao, ndio maana ameleta maendeleo makubwa katika nchi yetu ndani ya kipindi kifupi, just imagine, ile midege, ile flyover, ile Ubungo interchange, mabarabara, miondombinu, kuhamia Dodoma, SGR, Stigler, nchi ya uchumi wa kati, yote hayo ni ndani ya miaka 5 tuu!, tena hapo ndio na Corona juu!. Just imagine, angamaliza yote 10, na tukamuongezea 10 mingine!, tungekuwa wapi?.
Wanabodi, Tangu kupatikana kwa taarifa ya kutelekezwa kujengwa kwa uwanja wa ndege wa Bukoba, eneo la Omukajunguti na badala yake sasa uwanja huo unajengwa Chato, kumetokea pingamizi kadhaa kupinga kujengwa kwa uwanja huo Chato kwa kutumia costs benefits index, hivyo mimi naunga mkono ujenzi...
Wanabodi, Salaam, Neno "Mjinga" ni tukano, ila sio tusi!. Mtu kuwa mjinga ni ile hali ya kutokujua. Hivyo mtu akikuita mjinga, anamaanisha wewe hujui kitu fulani anachokuitia mjinga. Ukiwa hujui kitu fulani na ukaitwa mjinga, hujatukanwa bali umeambiwa ukweli kuhusu hali ya kutokujua kwako...
Wanabodi, Leo kuna video clip ya Ikulu yetu ya Magogoni imepandisha humu, kiukweli nimekuwa very impressed na ile zoo ya Ikulu na jinsi wanyama walivyopendezea. Kwenye mazuri wajameni tupongeze: Wanyama pori waipamba Ikulu, Hongera sana Rais Magufuli Nimesema kwa upande wa wanyama pori, rais...
Nimeletewa hii taarifa hadi nimeshangaa!! Of course hili jambo nilikua nalijua lakini nilikua nalijua juu juu tu Sasa nimeletewa data kamili,naambiwa kuna zaidi ya bilioni 800 zimefichwa Canada! Na hili lilifanyika awamu ya Tano na Doto james alikua hazina! Na inasemekana zilikua ni baraka...
Ni hivi: Ukiona kiongozi anapendelea eneo(kijiji,n.k) anakotoka au alkkozaliwa, n.k, automatically (100% ) atapendelea pia familia yake kwa kujilimbikizia mali na fedha(sifa hizi mbili always zinakwenda pamoja).
Kwa maneno mengine, kiongozi anaependelea eneo alikotoka au alikozaliwa, hatoishia kupendelea eneo alikozaliwa tu, bali ataona haitoshi na atapendelea pia familia yake kwa kujilimbikizia mali na fedha.
On other hand, ukiona kiongozi hana kabisa upendeleo wa eneo alikotoka au alikozaliwa, basi kuna uwezekano mkubwa(zaidi ya 90%) kiongozi huyo asiwe pia na hulika ya ubinafsi ya kutumia madaraka yake kujilimbikizia mali na fedha kwa ajili yake na familia yake.
Conclusion:
The simple and esiest way to discover that you leader is self-centred(egoic), corrupt and is also enriching himself or herself, you simply need to compare the level of development at his or her home village with that of neighbouring villages or districts.
Ni hivi: Ukiona kiongozi anapendelea eneo(kijiji,n.k) anakotoka au alkkozaliwa, n.k, automatically (100% ) atapendelea pia familia yake kwa kujilimbikizia mali na fedha(sifa hizi mbili always zinakwenda pamoja).
Kwa maneno mengine, kiongozi anaependelea eneo alikotoka au alikozaliwa, hatoishia kupendelea eneo alikozaliwa tu, bali ataona haitoshi na atapendelea pia familia yake kwa kujilimbikizia mali na fedha.
On other hand, ukiona kiongozi hana kabisa upendeleo wa eneo alikotoka au alikozaliwa, basi kuna uwezekano mkubwa(zaidi ya 90%) kiongozi huyo asiwe pia na hulika ya ubinafsi ya kutumia madaraka yake kujilimbikizia mali na fedha kwa ajili yake na familia yake.
Conclusion:
The simple and esiest way to discover that you leader is self-centred(egoic), corrupt and is also enriching himself or herself, you simply need to compare the level of development at his or her home village with that of neighbouring villages or districts.
Alipokuwa Waziri wa Miundombinu na kuweka traffic light kijijini kwao, ilikuwa ni ishara tosha kuwa angefanya nini iwapo angepewa Madaraka makubwa kama ilivyotokea.
Ni hivi: Ukiona kiongozi anapendelea eneo(kijiji,n.k) anakotoka au alkkozaliwa, n.k, automatically (100% ) atapendelea pia familia yake kwa kujilimbikizia mali na fedha(sifa hizi mbili always zinakwenda pamoja).
Kwa maneno mengine, kiongozi anaependelea eneo alikotoka au alikozaliwa, hatoishia kupendelea eneo alikozaliwa tu, bali ataona haitoshi na atapendelea pia familia yake kwa kujilimbikizia mali na fedha.
On other hand, ukiona kiongozi hana kabisa upendeleo wa eneo alikotoka au alikozaliwa, basi kuna uwezekano mkubwa(zaidi ya 90%) kiongozi huyo asiwe pia na hulika ya ubinafsi ya kutumia madaraka yake kujilimbikizia mali na fedha kwa ajili yake na familia yake.
Conclusion:
The simple and esiest way to discover that you leader is self-centred(egoic), corrupt and is also enriching himself or herself, you simply need to compare the level of development at his or her home village with that of neighbouring villages or districts.
1. Uwanja wa ndege wa Chato
2. Mbuga ya wanyama ya Chato
3. Tenda ya kujenga uwanja wa ndege kupewa Mayanga Construction, mmiliki wa kampuni ameoa nyumba moja na aliyekuwa mkuu wa nchi.
4. Katibu mkuu wizara ya fedha ni mtoto wa dada wa aliyekuwa mkuu wa nchi.
1. Uwanja wa ndege wa Chato
2. Mbuga ya wanyama ya Chato
3. Tenda ya kujenga uwanja wa ndege kupewa Mayanga Construction, mmiliki wa kampuni ameoa nyumba moja na aliyekuwa mkuu wa nchi.
4. Katibu mkuu wizara ya fedha ni mtoto wa dada wa aliyekuwa mkuu wa nchi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.