Yeah! Hakuna sababu ya Mjadala na Terrorist. Magaidi siku zote hawaelewagi lugha nyingine zaidi ya kipondo.Kuna double standards endapo negotiations bado zipo.
Bush mbona aliweka wazi enzi zake?!
Kama ni terrorist, why negotiating?
Ndiyo. Halafu sasa hao magaidi wamejigawia vyeo; huyu ni kiongozi mkuu, yule ni msaidizi wake, wale ni wataalam wa vilipukizi, hawa huku ndo wanaokaa nyuma ya makalio ya akina mama n.k. n.k. Ila yote kwa yote ni kama ulivyosema WOTE ni magaidi.Hamas yote ni magaidi mkuu
Walikuwa wanamsalimia! It was warning shot. Hapo Magetoni ndo Basi tena itabidi atafute Chimbo jingine maana wameshamwambia kuwa tunajua unakaa wapi🤣Wadau hamjamboni nyote?
Kiongozi mwingine Hamas amejeruhiwa vibaya na kombora la drone za IDF Leo huko Lebanon
Unajua kilichotokea?
Drone za IDF zilipiga na kulipua gari lake wakati gaidi huyo akitokea ndani ya nyumba yake kuelekea kwenye gari lake
Sijui ni Mungu wake kamuokoa?
Sijui IDF waliwahi?
Tukio limetokea kwenye jiji la Sidon pwani ya Lebanon
Anaitwa NIDAL HLEIHIL
Taarifa kamili hapo chini:
====
Hamas commander said seriously hurt in Sidon strike
By Emanuel Fabian Follow
Lebanese media outlets report that the intended target of an alleged Israeli drone strike near the coastal city of Sidon was a Hamas official.
The reports name him as Nidal Hleihil.
According to the Annahar outlet, two missiles struck Hleihil’s car as he left his house and headed to his vehicle.
The report says he was seriously injured in the strike.
Huyo aliyeshika pad za kuongoza drone kupitia sattelite ni mwanafunzi na mjinga namana hata mimi nikimpima shorobwenzi, tongwa, siyesiye kwa manati si mkosi hapo IDF WAMEFANYA MAKOSA AU WAMEKULA RUSHWAWadau hamjamboni nyote?
Kiongozi mwingine Hamas amejeruhiwa vibaya na kombora la drone za IDF Leo huko Lebanon
Unajua kilichotokea?
Drone za IDF zilipiga na kulipua gari lake wakati gaidi huyo akitokea ndani ya nyumba yake kuelekea kwenye gari lake
Sijui ni Mungu wake kamuokoa?
Sijui IDF waliwahi?
Tukio limetokea kwenye jiji la Sidon pwani ya Lebanon
Anaitwa NIDAL HLEIHIL
Taarifa kamili hapo chini:
====
Hamas commander said seriously hurt in Sidon strike
By Emanuel Fabian Follow
Lebanese media outlets report that the intended target of an alleged Israeli drone strike near the coastal city of Sidon was a Hamas official.
The reports name him as Nidal Hleihil.
According to the Annahar outlet, two missiles struck Hleihil’s car as he left his house and headed to his vehicle.
The report says he was seriously injured in the strike.