Unayoyasema yanaweza kuwa kweli km waislamu wote duniani wapo hivo lakini km ni kikundi kidogo tu cha wahuni wanaoutumia uislamu km kichaka cha kujifichia basi hoja yako haina mashiko, Iran ni waislamu na nchi yako ni ya kiislamu lakini ni maadui namba moja wa islamic state na wameshapigana sana vita na Islamic state,