Kiongozi kutumia siku 3 kwenye matamasha katika nchi yenye changamoto kibao, tutafika kweli?

Kiongozi kutumia siku 3 kwenye matamasha katika nchi yenye changamoto kibao, tutafika kweli?

PhD

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2009
Posts
4,692
Reaction score
3,891
Kiongozi Mkuu wa Nchi ni nyenzo muhimu ya kupeleka maendeleo mbele. Sio tu kiongozi lakini anabeba maono mapana ya nchi. Kiongozi Mkuu wa Nchi anatakiwa kuwa mwenye fikra pevu kuliko wasaidizi wake kwa maana ya kwamba hata akishauriwa anakuwa na uwezo mpana kwa kuchuja ushauri kabla ya kuamua.

Technically, Kiongozi wa aina hii lazima awe na muda wa kukaa kutafakari. Cha kushangaza unakuta Kiongozi Mkuu wa nchi fulani anakaa kuadhimisha matamasha kwa siku zaidi ya tatu kwa nchi yenye changamoto za kutosha. Kwa mwenendo huu safari ni ndefu. Akimaliza hapo ni warsha, kongamano, uzinduzi na ziara.
 
Kiongozi Mkuu wa Nchi ni nyenzo muhimu ya kupeleka maendeleo mbele. Sio tu kiongozi lakini anabeba maono mapana ya nchi. Kiongozi Mkuu wa Nchi anatakiwa kuwa mwenye fikra pevu kuliko wasaidizi wake kwa maana ya kwamba hata akishauriwa anakuwa na uwezo mpana kwa kuchuja ushauri kabla ya kuamua.

Technically, Kiongozi wa aina hii lazima awe na muda wa kukaa kutafakari. Cha kushangaza unakuta Kiongozi Mkuu wa nchi fulani anakaa kuadhimisha matamasha kwa siku zaidi ya tatu kwa nchi tente changamoto za kutosha. Kwa mwenendo huu safari ni ndefu. Akimaliza hapo ni warsha, kongamano, uzinduzi na ziara.
Acheni Nongwa jamani.
.mtu anafanya kazi kila siku basi hata siku moja moja asiburudike?
 
Kiongozi Mkuu wa Nchi ni nyenzo muhimu ya kupeleka maendeleo mbele. Sio tu kiongozi lakini anabeba maono mapana ya nchi. Kiongozi Mkuu wa Nchi anatakiwa kuwa mwenye fikra pevu kuliko wasaidizi wake kwa maana ya kwamba hata akishauriwa anakuwa na uwezo mpana kwa kuchuja ushauri kabla ya kuamua.

Technically, Kiongozi wa aina hii lazima awe na muda wa kukaa kutafakari. Cha kushangaza unakuta Kiongozi Mkuu wa nchi fulani anakaa kuadhimisha matamasha kwa siku zaidi ya tatu kwa nchi tente changamoto za kutosha. Kwa mwenendo huu safari ni ndefu. Akimaliza hapo ni warsha, kongamano, uzinduzi na ziara.
Mswahili huu mtu wa 'shughuli'....
 
Kuna Binadamu kama vile waliumbwa kuja Duniani kulalamika tu,kila siku anatafuta kitu ili akilalamikie! Halafu cha ajabu unaweza kukuta huyo mlalamikaji kwenye eneo lake la kazi ni mvivu wakupindukia,hawezi kuifanya kazi yake anayolipwa mpaka umpe rushwa!

Ndio yale yale unakuta mtu mwizi wa mamilioni kwa kalamu,halafu na yeye analaumu vibaka! "Vibaka wanarudisha sana nyuma maendeleo ya mtu"
 
Hata wewe mleta mada ukitawala Msumbiji utakuwa na uchungu nayo? Si kila siku utarudi kwenu kuja kwenye vigoma?
 
Hao viumbe wa Visiwani urojo umewaharibu sana. Hawajawahi kuwa serious hao kwenye mambo yao.
Hao waliopita ambao hawakula urojo,si mlikua mnawalalamikia kila siku humu? Ni kiongozi gani ambae hamkulalamika?

Wewe usiyekula urojo,umelifanyia nini cha maana taifa lako?

Unaweza kuweka hapa scientific evidence kua urojo unamuharibu mtu?
 
Back
Top Bottom