Kiongozi kutumia siku 3 kwenye matamasha katika nchi yenye changamoto kibao, tutafika kweli?

Kiongozi kutumia siku 3 kwenye matamasha katika nchi yenye changamoto kibao, tutafika kweli?

Tatizo huyo kiongozi hakuchaguliwa na wananchi Bali alirithishwa urithi na Babu yake.mtu yeyote anyerithi Huwa Hana uchungu na alichokirithi zaidi hukitumia kijingakijinga kama huyu kiongozi wa kijinga tuliyenaye
 
Kiongozi Mkuu wa Nchi ni nyenzo muhimu ya kupeleka maendeleo mbele. Sio tu kiongozi lakini anabeba maono mapana ya nchi. Kiongozi Mkuu wa Nchi anatakiwa kuwa mwenye fikra pevu kuliko wasaidizi wake kwa maana ya kwamba hata akishauriwa anakuwa na uwezo mpana kwa kuchuja ushauri kabla ya kuamua.

Technically, Kiongozi wa aina hii lazima awe na muda wa kukaa kutafakari. Cha kushangaza unakuta Kiongozi Mkuu wa nchi fulani anakaa kuadhimisha matamasha kwa siku zaidi ya tatu kwa nchi yenye changamoto za kutosha. Kwa mwenendo huu safari ni ndefu. Akimaliza hapo ni warsha, kongamano, uzinduzi na ziara.
Anaupiga mwingi hakika
 
Kiongozi Mkuu wa Nchi ni nyenzo muhimu ya kupeleka maendeleo mbele. Sio tu kiongozi lakini anabeba maono mapana ya nchi. Kiongozi Mkuu wa Nchi anatakiwa kuwa mwenye fikra pevu kuliko wasaidizi wake kwa maana ya kwamba hata akishauriwa anakuwa na uwezo mpana kwa kuchuja ushauri kabla ya kuamua.

Technically, Kiongozi wa aina hii lazima awe na muda wa kukaa kutafakari. Cha kushangaza unakuta Kiongozi Mkuu wa nchi fulani anakaa kuadhimisha matamasha kwa siku zaidi ya tatu kwa nchi yenye changamoto za kutosha. Kwa mwenendo huu safari ni ndefu. Akimaliza hapo ni warsha, kongamano, uzinduzi na ziara.
Ccm wanajua kabisa, wanalazimisha, kubaki, madsrakani, sasa, hawajali, chochote, ni, kutuburuza, tu
 
Kiongozi Mkuu wa Nchi ni nyenzo muhimu ya kupeleka maendeleo mbele. Sio tu kiongozi lakini anabeba maono mapana ya nchi. Kiongozi Mkuu wa Nchi anatakiwa kuwa mwenye fikra pevu kuliko wasaidizi wake kwa maana ya kwamba hata akishauriwa anakuwa na uwezo mpana kwa kuchuja ushauri kabla ya kuamua.

Technically, Kiongozi wa aina hii lazima awe na muda wa kukaa kutafakari. Cha kushangaza unakuta Kiongozi Mkuu wa nchi fulani anakaa kuadhimisha matamasha kwa siku zaidi ya tatu kwa nchi yenye changamoto za kutosha. Kwa mwenendo huu safari ni ndefu. Akimaliza hapo ni warsha, kongamano, uzinduzi na ziara.
Akili za ajabu tu...

Sasa RATIBA ya kazi za Rais wa nchi inanihusu nini mimi raia wa nchi hii ?!!

Inihusu nini mimi raia ?!!

Kule misikitini kwetu ule wito wa kuitwa watu KUSWALI (ADHANA) ni kazi ya yule anayewaita watu kwa sauti kubwa(MUADHINI) ila ule wito wa PILI wa waumini kusimama katika SALA (IQAMA) haumuhusu MUADHINI..ni mamlaka ya IMAMU tu...decree yake...

Sasa PRESIDENTIAL DECREE na ratiba za Rais zinamuhusu MUADHINI wa msikiti ?!![emoji1787]

Sasa PRESIDENTIAL DECREE na ratiba za Rais zinamuhusu MPIGA KENGELE kanisani ?!![emoji1787]

Niendelee tu na uvuvi wangu miye

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Tatizo huyo kiongozi hakuchaguliwa na wananchi Bali alirithishwa urithi na Babu yake.mtu yeyote anyerithi Huwa Hana uchungu na alichokirithi zaidi hukitumia kijingakijinga kama huyu kiongozi wa kijinga tuliyenaye
Mjinga ni Sappire....

Acha uzebe...mh.Rais amechaguliwa na wananchi...tumemchagua sisi wananchi.....yuko pale baada ya sisi wananchi kumchagua....

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Kiongozi Mkuu wa Nchi ni nyenzo muhimu ya kupeleka maendeleo mbele. Sio tu kiongozi lakini anabeba maono mapana ya nchi. Kiongozi Mkuu wa Nchi anatakiwa kuwa mwenye fikra pevu kuliko wasaidizi wake kwa maana ya kwamba hata akishauriwa anakuwa na uwezo mpana kwa kuchuja ushauri kabla ya kuamua.

Technically, Kiongozi wa aina hii lazima awe na muda wa kukaa kutafakari. Cha kushangaza unakuta Kiongozi Mkuu wa nchi fulani anakaa kuadhimisha matamasha kwa siku zaidi ya tatu kwa nchi yenye changamoto za kutosha. Kwa mwenendo huu safari ni ndefu. Akimaliza hapo ni warsha, kongamano, uzinduzi na ziara.
Akimaliza hapo anakwea zake pipa anaamsha.
 
Akili za ajabu kweli [emoji1787][emoji1787]

Alipokwenda huko Kizimkazi kwani urais wake aliuacha jijini DODOMA ?!!

Rais ni TAASISI....halali huyo...yuko macho 24 hrs....wewe utakwenda kulala yeye toka achaguliwe hajawahi kulala hata dakika 1....

Mh.Rais SSH anafanya kazi ngumu sana kwani mimi urais siutaki....

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Ni mwendo wa misele na party tu.

Ukikipata kitumie.
 
Huko Chattle alkuwa anafanya Sherehe gani!? Yule hata angekuwa anaenda mwaka Chattle bado alkuwa anaijua hii nchi vzr na alkuwa anazjua kero hkohko Chattle na anaztatua huyu yeye wala hajui ktu mpumbavu mkuu huyo
Upumbavu ilikuwa kuzaliwa wewe na upumbavu "ukaurithi" katika JENI zako na ukaendelee kukuzunguka katika "NURTURE" yako....

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Kiongozi Mkuu wa Nchi ni nyenzo muhimu ya kupeleka maendeleo mbele. Sio tu kiongozi lakini anabeba maono mapana ya nchi. Kiongozi Mkuu wa Nchi anatakiwa kuwa mwenye fikra pevu kuliko wasaidizi wake kwa maana ya kwamba hata akishauriwa anakuwa na uwezo mpana kwa kuchuja ushauri kabla ya kuamua.

Technically, Kiongozi wa aina hii lazima awe na muda wa kukaa kutafakari. Cha kushangaza unakuta Kiongozi Mkuu wa nchi fulani anakaa kuadhimisha matamasha kwa siku zaidi ya tatu kwa nchi yenye changamoto za kutosha. Kwa mwenendo huu safari ni ndefu. Akimaliza hapo ni warsha, kongamano, uzinduzi na ziara.
Acha wivu
 
Kuna Binadamu kama vile waliumbwa kuja Duniani kulalamika tu,kila siku anatafuta kitu ili akilalamikie! Halafu cha ajabu unaweza kukuta huyo mlalamikaji kwenye eneo lake la kazi ni mvivu wakupindukia,hawezi kuifanya kazi yake anayolipwa mpaka umpe rushwa!

Ndio yale yale unakuta mtu mwizi wa mamilioni kwa kalamu,halafu na yeye analaumu vibaka! "Vibaka wanarudisha sana nyuma maendeleo ya mtu"
[emoji1787][emoji1787][emoji7][emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Kiongozi Mkuu wa Nchi ni nyenzo muhimu ya kupeleka maendeleo mbele. Sio tu kiongozi lakini anabeba maono mapana ya nchi. Kiongozi Mkuu wa Nchi anatakiwa kuwa mwenye fikra pevu kuliko wasaidizi wake kwa maana ya kwamba hata akishauriwa anakuwa na uwezo mpana kwa kuchuja ushauri kabla ya kuamua.

Technically, Kiongozi wa aina hii lazima awe na muda wa kukaa kutafakari. Cha kushangaza unakuta Kiongozi Mkuu wa nchi fulani anakaa kuadhimisha matamasha kwa siku zaidi ya tatu kwa nchi yenye changamoto za kutosha. Kwa mwenendo huu safari ni ndefu. Akimaliza hapo ni warsha, kongamano, uzinduzi na ziara.
Lakini,kule napo ikulu ipo na kazi zinatendeka.Kazi na dawa mkuu.Manta hofu.
 
Uko sahihi sana Kiongozi. Sijawahi kuwa na Imani na Mwanamke kwenye issue ya Uongozi hata siku 1.

Wanawake wenzake tu (wanaojuana vyema) hawamkubali.
Hujiamini ..

Una matatizo yako ya KISAIKOLOJIA...

"Inferiority complexes"...

Dada yangu pole una chuki na wanawake(misogynistic) na unajichukia mwenyewe.....

Changamka alaaa changamka wee wanawake MNAWEZA ,we vipiii?!![emoji1787]

#Nchi Kwanza[emoji7]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom