SSEKK The Literally
JF-Expert Member
- Sep 5, 2023
- 1,134
- 1,905
Sasa mm n mTanzania ety niende nikatawale Kenya hv ntakuwa na uchungu kwel
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaupiga mwingi hakikaKiongozi Mkuu wa Nchi ni nyenzo muhimu ya kupeleka maendeleo mbele. Sio tu kiongozi lakini anabeba maono mapana ya nchi. Kiongozi Mkuu wa Nchi anatakiwa kuwa mwenye fikra pevu kuliko wasaidizi wake kwa maana ya kwamba hata akishauriwa anakuwa na uwezo mpana kwa kuchuja ushauri kabla ya kuamua.
Technically, Kiongozi wa aina hii lazima awe na muda wa kukaa kutafakari. Cha kushangaza unakuta Kiongozi Mkuu wa nchi fulani anakaa kuadhimisha matamasha kwa siku zaidi ya tatu kwa nchi yenye changamoto za kutosha. Kwa mwenendo huu safari ni ndefu. Akimaliza hapo ni warsha, kongamano, uzinduzi na ziara.
Ccm wanajua kabisa, wanalazimisha, kubaki, madsrakani, sasa, hawajali, chochote, ni, kutuburuza, tuKiongozi Mkuu wa Nchi ni nyenzo muhimu ya kupeleka maendeleo mbele. Sio tu kiongozi lakini anabeba maono mapana ya nchi. Kiongozi Mkuu wa Nchi anatakiwa kuwa mwenye fikra pevu kuliko wasaidizi wake kwa maana ya kwamba hata akishauriwa anakuwa na uwezo mpana kwa kuchuja ushauri kabla ya kuamua.
Technically, Kiongozi wa aina hii lazima awe na muda wa kukaa kutafakari. Cha kushangaza unakuta Kiongozi Mkuu wa nchi fulani anakaa kuadhimisha matamasha kwa siku zaidi ya tatu kwa nchi yenye changamoto za kutosha. Kwa mwenendo huu safari ni ndefu. Akimaliza hapo ni warsha, kongamano, uzinduzi na ziara.
Akili za ajabu tu...Kiongozi Mkuu wa Nchi ni nyenzo muhimu ya kupeleka maendeleo mbele. Sio tu kiongozi lakini anabeba maono mapana ya nchi. Kiongozi Mkuu wa Nchi anatakiwa kuwa mwenye fikra pevu kuliko wasaidizi wake kwa maana ya kwamba hata akishauriwa anakuwa na uwezo mpana kwa kuchuja ushauri kabla ya kuamua.
Technically, Kiongozi wa aina hii lazima awe na muda wa kukaa kutafakari. Cha kushangaza unakuta Kiongozi Mkuu wa nchi fulani anakaa kuadhimisha matamasha kwa siku zaidi ya tatu kwa nchi yenye changamoto za kutosha. Kwa mwenendo huu safari ni ndefu. Akimaliza hapo ni warsha, kongamano, uzinduzi na ziara.
Mjinga ni Sappire....Tatizo huyo kiongozi hakuchaguliwa na wananchi Bali alirithishwa urithi na Babu yake.mtu yeyote anyerithi Huwa Hana uchungu na alichokirithi zaidi hukitumia kijingakijinga kama huyu kiongozi wa kijinga tuliyenaye
Msemo wa kise***** e kuwah sikiaWapinzani walituchelewesha sana
Akimaliza hapo anakwea zake pipa anaamsha.Kiongozi Mkuu wa Nchi ni nyenzo muhimu ya kupeleka maendeleo mbele. Sio tu kiongozi lakini anabeba maono mapana ya nchi. Kiongozi Mkuu wa Nchi anatakiwa kuwa mwenye fikra pevu kuliko wasaidizi wake kwa maana ya kwamba hata akishauriwa anakuwa na uwezo mpana kwa kuchuja ushauri kabla ya kuamua.
Technically, Kiongozi wa aina hii lazima awe na muda wa kukaa kutafakari. Cha kushangaza unakuta Kiongozi Mkuu wa nchi fulani anakaa kuadhimisha matamasha kwa siku zaidi ya tatu kwa nchi yenye changamoto za kutosha. Kwa mwenendo huu safari ni ndefu. Akimaliza hapo ni warsha, kongamano, uzinduzi na ziara.
Upumbavu ilikuwa kuzaliwa wewe na upumbavu "ukaurithi" katika JENI zako na ukaendelee kukuzunguka katika "NURTURE" yako....Huko Chattle alkuwa anafanya Sherehe gani!? Yule hata angekuwa anaenda mwaka Chattle bado alkuwa anaijua hii nchi vzr na alkuwa anazjua kero hkohko Chattle na anaztatua huyu yeye wala hajui ktu mpumbavu mkuu huyo
[emoji7][emoji7]Hao waliopita ambao hawakula urojo,si mlikua mnawalalamikia kila siku humu? Ni kiongozi gani ambae hamkulalamika?
Wewe usiyekula urojo,umelifanyia nini cha maana taifa lako?
Unaweza kuweka hapa scientific evidence kua urojo unamuharibu mtu?
[emoji1787][emoji1787][emoji7]Kwahy hizo siku tatu zinaweza kutatua matatizo yaliyopo nchini?
[emoji7]MKuu,kuna watu wamejikatia tamaa ya maisha,hua wanahangaika kumtafuta mtu wakumuangushia jumba bovu,
Muda haumsubiri mtu,huwezi kuwaachia urithi wanao kua eti enzi zako ulikua mlalamikaji JF
Acha wivuKiongozi Mkuu wa Nchi ni nyenzo muhimu ya kupeleka maendeleo mbele. Sio tu kiongozi lakini anabeba maono mapana ya nchi. Kiongozi Mkuu wa Nchi anatakiwa kuwa mwenye fikra pevu kuliko wasaidizi wake kwa maana ya kwamba hata akishauriwa anakuwa na uwezo mpana kwa kuchuja ushauri kabla ya kuamua.
Technically, Kiongozi wa aina hii lazima awe na muda wa kukaa kutafakari. Cha kushangaza unakuta Kiongozi Mkuu wa nchi fulani anakaa kuadhimisha matamasha kwa siku zaidi ya tatu kwa nchi yenye changamoto za kutosha. Kwa mwenendo huu safari ni ndefu. Akimaliza hapo ni warsha, kongamano, uzinduzi na ziara.
[emoji1787][emoji1787][emoji7][emoji7]Kuna Binadamu kama vile waliumbwa kuja Duniani kulalamika tu,kila siku anatafuta kitu ili akilalamikie! Halafu cha ajabu unaweza kukuta huyo mlalamikaji kwenye eneo lake la kazi ni mvivu wakupindukia,hawezi kuifanya kazi yake anayolipwa mpaka umpe rushwa!
Ndio yale yale unakuta mtu mwizi wa mamilioni kwa kalamu,halafu na yeye analaumu vibaka! "Vibaka wanarudisha sana nyuma maendeleo ya mtu"
[emoji7][emoji7]Ukiwa neutro bila kuhusisha itikadi za kisiasa na mihemko. Raisi pia ni mtumishi wa umma ana haki ya kupata likizo ya dharula na likizo ndefu
Lakini,kule napo ikulu ipo na kazi zinatendeka.Kazi na dawa mkuu.Manta hofu.Kiongozi Mkuu wa Nchi ni nyenzo muhimu ya kupeleka maendeleo mbele. Sio tu kiongozi lakini anabeba maono mapana ya nchi. Kiongozi Mkuu wa Nchi anatakiwa kuwa mwenye fikra pevu kuliko wasaidizi wake kwa maana ya kwamba hata akishauriwa anakuwa na uwezo mpana kwa kuchuja ushauri kabla ya kuamua.
Technically, Kiongozi wa aina hii lazima awe na muda wa kukaa kutafakari. Cha kushangaza unakuta Kiongozi Mkuu wa nchi fulani anakaa kuadhimisha matamasha kwa siku zaidi ya tatu kwa nchi yenye changamoto za kutosha. Kwa mwenendo huu safari ni ndefu. Akimaliza hapo ni warsha, kongamano, uzinduzi na ziara.
Hujiamini ..Uko sahihi sana Kiongozi. Sijawahi kuwa na Imani na Mwanamke kwenye issue ya Uongozi hata siku 1.
Wanawake wenzake tu (wanaojuana vyema) hawamkubali.