Siku mkizungumzia dini za Upendo, Buddhism, Paganism, Rastafarians na Hinduism utanistua maana sipati majibu sahihi kwanini Uislamu na Ukristo unapigiwa sana promo mitandaoni badala ya kujipiga promo zenyewe huko mitaani ?! [emoji848]Asalaam alykhum.
Nimefuatilia sana hikinkipande cha sinema nikaishia katikati, kucheka nataka, kuwa serious nashindwa.
Nikaona siyo sawa, kama mtu huwezi kuenenda sawa sawa na utaratibu wa ibada basi bi bora kutulia tu.
Hebu mcheki yule mwamba VP Gachagua anachofanya kwenye 01:36 hadi walio pembeni na nyuma hawana mbavu!.
View attachment 2593207
Hawa jamaa huwa na makasiriko sana na dini yaoKafanyaje hapo, mbona kajitahidi kwenda sawa!!
Kwani hairuhusiwi kwa asie muislam kushiriki ibada na waislam?
Tafuta jambo jingine, tukitaka sinema tutaenda vibanda umiza, sinema ni igizo unataka tujadili nini!Asalaam alykhum.
Nimefuatilia sana hikinkipande cha sinema nikaishia katikati, kucheka nataka, kuwa serious nashindwa.
Nikaona siyo sawa, kama mtu huwezi kuenenda sawa sawa na utaratibu wa ibada basi bi bora kutulia tu.
Hebu mcheki yule mwamba VP Gachagua anachofanya kwenye 01:36 hadi walio pembeni na nyuma hawana mbavu!.
View attachment 2593207
Nimeangalia ila wamejitahidi sana kwenda na vibe 🤣🤣🤣🤣Okoa bundle lako na scroll hadi dakika 01:36 anzia hapo kuangalia chief.
Nyie ila lugha mnayoongeaga mkitaka sadaka huwa mnaelewa sasa?Hata lugha ndiyo hivyo haieleweki. Bora wakristu waliondokana na kilatini na unakuta Yesu Kristo akihubiriwa kwa lugha yeyote hata majini wanatii.
Mbona hayo macho kama kanywa konyagi