Mkimuyangu
JF-Expert Member
- Oct 5, 2022
- 1,054
- 1,947
Na ndipo walipochakachua Dini, hivi ungejisikiaje raha kuongea Lugha, aliyokuwa anaongea YesuHata lugha ndiyo hivyo haieleweki. Bora wakristu waliondokana na kilatini na unakuta Yesu Kristo akihubiriwa kwa lugha yeyote hata majini wanatii.